Elections 2010 Mwakipesile atangaza rasmi kutokugombea ubunge wa Kyela 2010

Elections 2010 Mwakipesile atangaza rasmi kutokugombea ubunge wa Kyela 2010

Umeanza tena matatizo yako? Angalia sana, ukifuata fuata watu utaishia kuumbuka maana data zote tunazo!


Yale yale ya mtandao, mnaacha kutumia muda wenu kwa maendeleo mnaanza kutafuta data za watu kisa wamekataa kukubaliana na hoja zenu za kutaka kushawishi watu wamwone Mwakyembe hafai. halafu mkishajua hizo data nini kinafuata? sumu, tindikari,ajari za kupanga au Bunduki?

Unawezaje kujua data za watu bila kusaidiwa na MOD?. Kwa taarifa yako mimi siogopi kitu wewe fanya unachoweza kufanya kivyako vyako huna hata haja ya kunitishia. Angalia watu wanaokupa thanks utaona ni watu mnaofanana mawazo mnazani kuwa mnaweza kutawala hata kwenye internet
 
Yale yale ya mtandao, mnaacha kutumia muda wenu kwa maendeleo mnaanza kutafuta data za watu kisa wamekataa kukubaliana na hoja zenu za kutaka kushawishi watu wamwone Mwakyembe hafai. halafu mkishajua hizo data nini kinafuata? sumu, tindikari,ajari za kupanga au Bunduki?

Unawezaje kujua data za watu bila kusaidiwa na MOD?. Kwa taarifa yako mimi siogopi kitu wewe fanya unachoweza kufanya kivyako vyako huna hata haja ya kunitishia. Angalia watu wanaokupa thanks utaona ni watu mnaofanana mawazo mnazani kuwa mnaweza kutawala hata kwenye internet

Unaonaje wewe ukitumia muda wako kufanya ya maana badala ya kufuatilia kila ninachoandika? Unaweza kuchangia hoja zangu ukitaka na pia unaweza kuandika madhambi yangu utakavyo. Kitu ambacho huwezi kufanya ni kujaribu kuchafua kila ninachoandika.

Kama tatizo lako ni Mwakyembe, basi umepotea, yeye ni mwanasiasa na ataendelea kuandikwa tu kwa mazuri na mabaya na huwezi kuzuia watu kwenye hilo. Huwezi kuzuia watu waache kumwandika mtu yeyote hapa JF. Unachoweza kufanya ni kusahihisha kama watu wanaandika majungu. Lakini mpaka sasa badala ya kuandika unachojua, naona wewe unataka kuua messengers. Hii ni dalili tosha hujui kinachoendelea Kyela na badala yake unataka kuvuruga mijadala hapa JF.

Ukija kwa hoja njoo, tutajadiliana lakini ukiendelea kujaribu kuchafua kila ninachoandika kwasababu tu hupendi ninavyoandika mambo ya Mwakyembe utakuwa unatoka nje ya spirit ya majadiliano na wengine itabidi tutoke hivyo hivyo pia. Uamuzi ni wako kunyoa au kusuka!
 
"Hivi ndugu zangu mimi nilikuwa mbunge kwa miaka 10 baada ya kufuatwa na kuombwa, baadaye nikashindwa kwenye kura za maoni,Rais akanipa heshima kuniteua kuwa Mkuu wa Mkoa hadi sasa, nirudi kugombea ubunge kwa ajili ya kutafuta nini? "Alihoji Bw. Mwakipesile hivi karibuni, wakati akizungumza na maaskofu wa madhehebu mbalimbali mkoani Mbeya, waliomtembelea nyumbani kwake.

Sizitaki mbichi hizi, mmmh mmmh. Alipokwenda kugombea akashindwa kwenye kura za maoni kwani alikuwa anatafuta nini??????? Jibu alilipata baada ya kura za maoni, alishasoma alama za nyakati ila anaji-pretend kama hajaziona. Bora yeye kaziona alama hizo akijifanya hazioni maana kuna wengine walishaziona lakini bado wata-assume hizo alama ni fake.
 
Back
Top Bottom