Mwakyembe aitumia TAKUKURU kumng'oa Jamal Malinzi TFF?


Fedha za FIFA ambazo ziko kwenye dola sasa zimebatizwa kuwa za TBL ambayo imeshindwa hata kuwalipa magawiwo ya kila mwaka wanahisa wake.

Pili, tangia lini TBL wakalipa kwa dola, tafakari chukua hatua
 
Mwakyembe naomba unyooshe na Magazeti ya michezo ambayo pia yanaharibu Mpira wa TZ kwa kuandika udaku. Mfano utakuta gazeti linamsifia mchezaji Fulani atakae sajiliwa na timu, Fulani utazani mchezaji Huyo anakiwango cha Madrid kumbe Hovyo kabisa.
 
"...huu ndio mwisho wa kupata pesa kiujanja ujanja na kupiga dili..... "
Mkuu wa nchi
 
Fedha za FIFA ambazo ziko kwenye dola sasa zimebatizwa kuwa za TBL ambayo imeshindwa hata kuwalipa magawiwo ya kila mwaka wanahisa wake.

Pili, tangia lini TBL wakalipa kwa dola, tafakari chukua hatua
Yeye kajing'oa tff, sio mwingine. Tatizo ujanja mwingi matokeo haba.
 
Tukigingiwa ndio safivtutakuwa tunajenga timu. Kwani si hata wadau wengi wa michezo walipropose tusishiriki michuano ya kimatsifa kwa muda ili tujenge timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…