Mwakyembe alitumika kumuumiza Lowassa kwenye kashfa ya Richmond

Lowassa aliumizwa na KIKWETE acheni kupepesa maneno, Mwakyembe na hayati Samwel Sitta walitumika tu ( deep state),kumuokoa kijana wa msoga
 
Hapana . Yatupasa kumpongeza mwakyembe. Aliliokoa taifa. Jamaa alitupiga kweli. Na huu ndiyo ujinga wa wanasisasa.wanaiba mali za umma mwishowe kifo kinakuja kuwanyoosha kama hivi. Funzo kwenu wale mnaendelea kuwaibia Watanzania,kifo kipo mbele yenu. Pumzika Lowasa naamini uliwaomba radhi Watanzania kabla ya mauti
 
na haijamsaidia chochote hadi leo.
 
March 2024 naye atakuwa R.I.P
 
Chadema kupitia mzee Mbowe, Lissu, Mnyika, Msigwa na Lema walitumika sana kuharibu jina la Mzee Lowassa
Huwa nawashngaa sna chdema wametumika kupata mailge kubwa sna kisas na lowasa

Kipindi kilegazeti la .mwanahalisi lilitumika kumchafua Ana lowasa
 
Hivi ile tindikali iliishia kubabua ngozi tu au hadi ubongo wa Mwakyembe?
 
Lowassa aliumizwa na KIKWETE acheni kupepesa maneno, Mwakyembe na hayati Samwel Sitta walitumika tu ( deep state),kumuokoa kijana wa msoga
Nashukuru UMETHIBITISHA kichwa cha mada yangu. Hata mimi sijasema Mwakyembe alimuumiza Lowassa.

Rudi usome tena troiker ili povu likupungue
 
Unampongezaje mtu aliyeficha ukweli kwa ajili ya kumhifadhi JK? Hivi watu wengine mnatumiaje vichwa vyenu? Au mnafugia nywele tu kama bustani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…