Eeee bwana eeeeh nimetazama live mwanzo mwisho kupitia YouTube hawa watu wako serious.
Mwakyembe kaikubali studio.
Ubishani wa Manara na Nugaz ndo balaa zitooo Ahmed pamoja na Kitenge wanakuja kupindua hii tasnia na kumficha Dauda mfukoni
Ahmed abdallah yule aliyekuwa azamAhmed yupi?
Yah wasafi wapo very serious kwa mwendo Huu watafika mbali sana wamefanya ubunifu mzuri kwa tukio la leo mpaka mwakyembe kawapigia salute.Eeee bwana eeeeh nimetazama live mwanzo mwisho kupitia YouTube hawa watu wako serious.
Mwakyembe kaikubali studio.
Ubishani wa Manara na Nugaz ndo balaa zitooo Ahmed pamoja na Kitenge wanakuja kupindua hii tasnia na kumficha Dauda mfukoni
Ambatanisha na kapicha mkuu.Ahmed Abdala aliyekuwa Azam tv
Huyo dogo kwa nini amekimbia Azam, binafsi niliona palimfaa sana pale.Ahmed abdallah yule aliyekuwa azam
hakuna kitu zaidi ya maslahiHuyo dogo kwa nini amekimbia Azam, binafsi niliona palimfaa sana pale.
Hata jana Mwakyembe ametoka kuwapigia saluti Wahadzabe kwny mambo ya ngoma za asili kule Arusha.Yah wasafi wapo very serious kwa mwendo Huu watafika mbali sana wamefanya ubunifu mzuri kwa tukio la leo mpaka mwakyembe kawapigia salute.
Brother kuna usemi unasema "penda kazi usipende ofisi, hujui lini ofisi haitakupenda"Huyo dogo kwa nini amekimbia Azam, binafsi niliona palimfaa sana pale.
Mzee acha masiala umesema dauda ana hela sawa na mondi?Mzee hapa umetuingiza Chaka.Utajiri wa Dauda sawa na Mondi tu ana kampuni ya betting..usimfananishe na hao vilaza kwanza Shafii hatangazi tena
"penda kazi usipende ofisi" i like this👏👏👏Brother kuna usemi unasema "penda kazi usipende ofisi, hujui lini ofisi haitakupenda"
Hata iwe kampuni au taasisi aidha kubwa au ndogo itakupenda kwa kazi iliyokufanya uwe pale na sio kitu kingine.
Nimependa mawazo yake..
Namuunga mkono kwenye hili ndo mashabiki wa bongo walivyo sijui hii tabia itaisha lini?Siku mtangazaji wa wasafi akisajiliwa pengine atatukanwa na kuitwa majina yoote mabaya aiseee
wale wanaosema wasafi media sio ya dai, wako wapi???