Mondi huyu bwana mdogo anajitahidi sana kuleta mapinduzi katika tasnia hizi 2 Music na sasa Habari na Utangazaji.Hizi media kubwa zinatikisana kishenzi miaka ya karibuni.
SOON kuna mtu atavunja kibubu ili kujibu mapigo. Ujue navuta picha hicho kikao cha majizo na akina mkule na wenzake kilikuwaje hadi akawaruhusu waondoke. Je aliridhia kiroho safi! Au wameshampa maslahi! Au ana mpango wa kusajili league one!
Nyie ndio mashabiki wa mbwiga wa mbwiguke wa clouds fm,baki hivyo hivyo na content za mbwiga.Tatizo sio kuzindua. Mantainace ya ubora na kuvuta wasikilizaji wapya that's only matter. content n za kushibisha kiu ya wasikilizaji?
Diamond platnumz sio mwenzio yule.Nime gundua Siku izi kumuita/kuonana na mawaziri sio kazi sana kama zamani
ExactlyMondi huyu bwana mdogo anajitahidi sana kuleta mapinduzi katika tasnia hizi 2 Music na sasa Habari na Utangazaji.
Bwana mdogo anastahili pongezi Kwakweli
Binafsi sidhani kama ni sawa kuwaweka watangazaji wazuri kipindi k1
Ulitaka tukushabikie wew?[emoji848]Nyie ndio mashabiki wa mbwiga wa mbwiguke wa clouds fm,baki hivyo hivyo na content za mbwiga.
Love your job but do not love the company"penda kazi usipende ofisi" i like this[emoji122][emoji122][emoji122]
Diamond platnumz sio mwenzio yule.
Nimeelewa kuliko ww ulieandika,mualile na ww si rahisi sio?Ume elewa nilicho kiandika au ume dandia kwa juu tu na mahaba yako
Nimeelewa kuliko ww ulieandika,mualile na ww si rahisi sio?
HahahaSiku mtangazaji wa wasafi akisajiliwa pengine atatukanwa na kuitwa majina yoote mabaya aiseee
Ushashiba ubwabwa wa Konde boy mwenyewe una comment chochote kinalokujia kichwaniHata jana Mwakyembe ametoka kuwapigia saluti Wahadzabe kwny mambo ya ngoma za asili kule Arusha.
Pale ulipokunya pameota mbuyu.Ushashiba ubwabwa wa Konde boy mwenyewe una comment chochote kinalokujia kichwani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pale ulipokunya pameota mbuyu.