Kitokoo
Member
- Jul 3, 2019
- 52
- 135
Tumesikia baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiwa wamegomea mazoezi kutokana na kutokulipwa mushahara yao.
Lakini cha ajabu waziri wa michezo badala atoe tamko kwa club jinsi yakufanya ili waweze kuyamaliza maswala ya mishahara yeye anapinga uwelezaji wa Simba nakutaka
49% zimilikiwe na wawekezaji watatu.
Yanga wamekosa angalau mwekezaji mmoja wakuweza kuwalipa wachezaji mishahara yao je hao watatu watapatikana wapi?
Ingekua vya kama ungetoa ushauri kwa Yanga jinsi yakujikwamua apo walipo kuliko.
Alafu ni wazi kabisa inaonesha hupendezwi na mafinikio ya mpira wa Tanzania pamoja na Simba
Lakini cha ajabu waziri wa michezo badala atoe tamko kwa club jinsi yakufanya ili waweze kuyamaliza maswala ya mishahara yeye anapinga uwelezaji wa Simba nakutaka
49% zimilikiwe na wawekezaji watatu.
Yanga wamekosa angalau mwekezaji mmoja wakuweza kuwalipa wachezaji mishahara yao je hao watatu watapatikana wapi?
Ingekua vya kama ungetoa ushauri kwa Yanga jinsi yakujikwamua apo walipo kuliko.
Alafu ni wazi kabisa inaonesha hupendezwi na mafinikio ya mpira wa Tanzania pamoja na Simba