Mwakyembe Ataka Mdahalo na akina Rostam

Kama lowassa aliona ameonewa kwanini alijiuzulu?
 
Mdahalo wa "Alibaba and 40 thieves",
CCM wote wevi tu.
 
- Mwakyembe:-

 
haya ni mawazo finyu sana, test tube way of thinking, ina maana kwa kuwa walikuwa na mtu wao hawaruhusiwi kukemea pale nchi inapoyumba? nchi inaangamia na watu kama wewe wako kwenye lindi la usingizi mzito wa chagua la Mungu yaani kikwete

in simpler terms ni kuwa Mwakyembe anaelekea kufilisika kisiasa.hana hoja nyngine zaidi ya hiyo ya ufisadi wa Richmond...Mdahalo wa nini ,he makes himslef very low eti wafanye mdahalo halafu wapite kariakoo wananchi wawahukumu...Mawazo ya kipumbavu kabisa haya then anajiita Dr..juna tfauti gani kwa u Dr wako na wale wenye u Dr wa PAcicif University???

Mwakyembe unakoelekea ni kubaya na una kila dalili za kufulia...
 
RADIO KYELA FM imeanza kurushwa tunataka Mdahalo Mwakyembe VS Mwakalinga,topic ni maendeleo ya Kyela na sio richmond,wananchi wa kyela watakuwa na uwezo wa kusikiliza ,Maana KYELA FM inasikika Kyela nzima.
 
Mdahalo tena? Dr watakakutupeleka wapi?

mi nakuambia huyu kapotea njia na sijui kama atarudi 2010 bungeni..i doubt kwa kweli,yaani kashindwa kuongea bungeni na kwenye mikutano yao ya VICOBA na Mengi leo anataka mdahalo...hahaaaa
 

- Hakuna cha kuppunguza wala kuongeza, hizi ndio tunaita facts!

Respect.


FMEs!
 
Mdahalo wa "Alibaba and 40 thieves",
CCM wote wevi tu.


Mjumbe wa kamati kuu na waziri wa CCM alisema authoritatively kuwa wao wote ni Mafisadi!! Sasa huyu Mwakimbi asitubabaishe hapa; anatafuta ulaji tu hana lolote!! Sijakosea Mwakyembe/Mwakimbi wote ndio hao hao !!
 
- Hakuna cha kuppunguza wala kuongeza, hizi ndio tunaita facts!

Respect.

FMEs!

FMES,

Karibu Kyela uje umsaidia Dr. Mwakyembe kwenye kampeni yake.

Ila jiandae maana kwa yale ninayoyaona hapa Kyela, mpambano utakuwa mkali sana kwake.

Pia mshauri jamaa yako atumie muda wake kuongelea maendeleo ya Kyela pia, Richmond, Richmond kila siku haitamsaidia.

Wenzake wanafanya mambo ya maana huku kimya kimya na yanaonekana. Itakuwa ngumu sana kwake kuwaambia wawaache hao wengine waendelee kumwamini yeye ambaye huku tunamwita mbunge wa taifa au msanii.
 

Thank you Mkuu, nitakucheck baadaye! Kwenye Ukweli tupo pamoja sana Kamanda
 
Mie nadhangaa kelele za siku nyingi za kina mwakyembe et all.

kama wana ushahidi kuhusiana na Rostam basi waende wakafungue mashtaka mahakamani.

We are tired of listening to this cheap politics while Tanzanians are still living very poor life..

Mwakyembe ni kioja tu
 
Midahalo ya nini? Facts si zimekwisha julikana. Nadhani way forward ni serikali kupitia DPP kuona kama kuna charges ambazo zinweza kusimama kisheria mbele ya mahakama.

Unajua, ni rasihi kuwazuga wananchi kwa kuleta longolongo nyingi lakini ukiziweka katika vipimo vya kisheria ukaambulia charges zote kutupwa nje. Mfano bora angalia kesi ya Zombe!!.

Kama mnavyofahamu, Dk. Mwakyembe si makini sana katika kujenga hoja. Jazba na majigambo huwa kwa wingi sana kwake mpaka wakati mwingine anakoroga mambo. Kwa nini sasa alete wazo la kuitishe mdahalo wakati wazo la kulipeleka suala hili mbele ya Majaji alilipinga. Mdahalo hauwezi kuleta action nyinge ya kufuata lakini jopo la Majaji likikuta kuna uhalifu linaweza kufuatiliwa na mashitaka ya DPP.

Tuachane na hizi PR gestures zenye lengo la kutaka kujijengea umaarufu na tutafutae ufumbuzi wa kimaendeleo..
 
Maana halisi ya Mwakyembe ni kuwa, inaonyesha vyombo vya dola vinavyopaswa kuchukua mkondo wa sheria pamoja na keuelewa nini kimetokea viko kimya, basi hakuna haja tena kuunda tume ya majaji au nini ila kwa vile mafisadi wana pesa wanunue Airtime ili katika mdahalo huo hata watu wakawaida wa Kariakoo wataona na kuelewa nini wametendewa na ukweli uko wapi kisha watatoa hukumu yao baada ya Mwakyembe na Rostam kupita pale Kariakoo.
Naungana na Mwakyembe kuwa kama Rostam atakuwa hai basi hatakuwa amebakiza hata nguo ya ndani. Ndio atajua hukumu ya wananchi wenye hasira kali. Hatatofautishwa na kibaka
 
lowasa anakwambia tatizo ni uwaziri mkuu lakini kampuni ni safi kabisa..........[/QUOTE]



😱
 
.
Hakuna cha fact zaidi ya upuuzi.Waende kariakoo kufanya nini?Huyu ni Dr wa kienyeji?Huyu bwana harudi tena 2010.Hana jipya.
Ni kweli hana jipya kwa vile ya zamani aliyosema hayajafanyiwa kazi. Kama huyo Rostam wako yuko sawa na anaamini anayowatendea Watz ni sawa basi akavinjari mitaa ya kariakoo aone atakavyo shangiliwa kwa wema wake.
 
Ni kweli hana jipya kwa vile ya zamani aliyosema hayajafanyiwa kazi. Kama huyo Rostam wako yuko sawa na anaamini anayowatendea Watz ni sawa basi akavinjari mitaa ya kariakoo aone atakavyo shangiliwa kwa wema wake.

Kama ameona hayajafanyiwa kazi basi ngoma ni 0-0.A seti mambo mengine kwenye mtandao(Achague ustarabu mwingine).watu tumechoka sasa na hizi ngongera.mpaka wapiga kura wake wanamwita amefulia.Sasa yeye atakaa hapo hapo na ngongera zake akisubiri mambo yafanyiwe kazi?.Ndiyo kufilisika kwenyewe.
 

If you are tired of listening, u can always use cotton balls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…