Mwakyembe azungumzia Kauli ya Kabudi kuwa Azory Gwanda amefariki

Mwakyembe azungumzia Kauli ya Kabudi kuwa Azory Gwanda amefariki

Nae Mwakyembe angehojiwa kwa kiingereza,si ajabu angeenda mule mule kama Kabudi.Kudanganya kwa lugha ya kigeni inaonekana ni vigumu sana,rejea mahojiano ya Mkapa kuhusu mauaji ya Wazanzibari


!
!
Kweli Mkuu. Kiingereza Na Hadhi Ya Chombo Cha Habari Vilimfanya Awe Makini Kupitiliza. Akawa Hawazi Tena Content Anatiririka Tu
 
Mimi nilishasema watanzania ni wapumbafu..yaani stupid.. tupo tupo tu.. hatuna kauli thabit dhidi ya tuliowapa madaraka.. yaani tunawaachia wafanye wanavyotaka. Huu ni upumbafu wa kiwango cha juu..tukikaa hivyo iko siku yatatokea kwetu..
 
Elimu ya bure ya nyerere ilizalisha watu wa hovyo sana.
Walisoma bure
Wakala bure
Wakanya bure

Matokeo yake wakapata vyeti badala ya elimu.
Anyway tusubiri wafe wote kwa uzee tuanze upya.
Siku izi wazee wanazika vijana.
 
Back
Top Bottom