Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Iko wazi wachezaji wa Yanga hawajalipwa pesa zao za mechi ya Simba waliohaidiwa.
Mmh mwakyembe tinaomba hili swala ingilia kati owe fundisho kwa wowote wanaoahidi bila kulipwa. Kama mnakumbuka wachezaji wa yanga waliwahi kugoma huko nyuma gsm wakasema wanawalipa wote na kutoa mil 200.
Mnaokumbuka zile pesa zilikuwa zilipe wachezaji gafla uongozi ukoamba ziingizwe kwenye acc wao wanajua cha kufanya. Kama makujua matokeo yaliofwata mtaelewa.
A. Nugaz bila haya anasema kweli wachezaji hawajalipwa shida ni bank. Je, unakumbuka gsm walikuwa walipe cash wachexji nn kimeshindikana mmepeleka bank tena zikafanye mamboo yenu.
Ona mnatesa wana Yanga na matokeoo yenu ya kishenzii
Mh. Mwakyembe kwa hili usiwe kimya kabisa.
Mmh mwakyembe tinaomba hili swala ingilia kati owe fundisho kwa wowote wanaoahidi bila kulipwa. Kama mnakumbuka wachezaji wa yanga waliwahi kugoma huko nyuma gsm wakasema wanawalipa wote na kutoa mil 200.
Mnaokumbuka zile pesa zilikuwa zilipe wachezaji gafla uongozi ukoamba ziingizwe kwenye acc wao wanajua cha kufanya. Kama makujua matokeo yaliofwata mtaelewa.
A. Nugaz bila haya anasema kweli wachezaji hawajalipwa shida ni bank. Je, unakumbuka gsm walikuwa walipe cash wachexji nn kimeshindikana mmepeleka bank tena zikafanye mamboo yenu.
Ona mnatesa wana Yanga na matokeoo yenu ya kishenzii
Mh. Mwakyembe kwa hili usiwe kimya kabisa.