Mwakyembe: Kati ya wasanii 10 duniani wenye sauti nzuri Diamond huwezi mtoa

1.Alikiba
2.Aslay
3.C.Bella
4. Lavalava
5. TID
6. Ramadee
7. Nurueli
8. Engine
9. Steve RnB
10. Belle 9
Hao jamaa wanaweza kumzidi Chibu kwa sauti nzuri, lkn uandishi na ujanja ujanja wasimpate
 

Huyu mzee atakua anatumia the strongest drug ever!
 
1.Alikiba
2.Aslay
3.C.Bella
4. Lavalava
5. TID
6. Ramadee
7. Nurueli
8. Engine
9. Steve RnB
10. Belle 9
Hao jamaa wanaweza kumzidi Chibu kwa sauti nzuri, lkn uandishi na ujanja ujanja wasimpate
Tena kumzidi kwa mbaaaaali sana.Hata uandishi sio kwamba anajua,ila nakubaliana na wewe hapo kwenye ujanjaujanja na kiki za hovyohovyo zisizo na adabu
 
Kwa sauti nzuri hapo sina hakika.. Kwa kuimba nyimbo nzuri sawa
 
Diamond ndiyo nani mbona sijawahi kumsikia msanii huyo.
 
Wiz kid anayo sauti nzuri afrika nzima bisha uone.... [emoji23]
 
Hivi ile sumu na ya nyoka koboko ipi Kali?sielewi mtu kalewa miaka sasa
 
Hata kama namkubali sana Diamond katika hili siwezi kusema uongo.

Hapa Tanzania pekee hata top 10 ya waimbaji wenye sauti nzuri hachungulii.
 
Nadhani mh. Waziri hapa anachanganya kati ya msanii mwenye sauti nzuri na msanii mwenye mafanikio. Mond ni msanii mwenye mafanikio ila hapo kwenye sauti nzuri labda top ten ya kutoka chini!
 
Hawa watu wakati mwingine wanatutafuta maneno tu. Tuongee tuonekane wabaya tu..
 
Mwakyembe atakuwa kalishwa sumu tu.....Diamond hana sauti nzuri hata ile ya wastani hana. Sema tu ana nyota ya kupendwa ila hata kimuziki kuna wasanii madogo tu hapa Bongo wanampita sana tena vibaya mno.
mmmmh,watu bana...hivi diamond unazani anakubalika kwa sababu gani? mbona watu mnajifanya wajuaji sana na wakati reality yenyewe inaonesha true color ya diamond!
 
1.Alikiba
2.Aslay
3.C.Bella
4. Lavalava
5. TID
6. Ramadee
7. Nurueli
8. Engine
9. Steve RnB
10. Belle 9
Hao jamaa wanaweza kumzidi Chibu kwa sauti nzuri, lkn uandishi na ujanja ujanja wasimpate
kuna tofauti kati ya kuwa na sauti nzuri. na kujua kuimba!
 
Sasa enock Bella mbona mnamsahau wakuu ni top kwa sauti world wide
 
1.Alikiba
2.Aslay
3.C.Bella
4. Lavalava
5. TID
6. Ramadee
7. Nurueli
8. Engine
9. Steve RnB
10. Belle 9
Hao jamaa wanaweza kumzidi Chibu kwa sauti nzuri, lkn uandishi na ujanja ujanja wasimpate

Ni kweli mheshimiwa Mwakyembe katoa boko ila kwahiyo list yako awampati Diamond [emoji184] kwa sauti, ujanja ujanja na uandishi jamaa ana badilika kama kinyonga vile afai ata robo
 
1.Alikiba
2.Aslay
3.C.Bella
4. Lavalava
5. TID
6. Ramadee
7. Nurueli
8. Engine
9. Steve RnB
10. Belle 9
Hao jamaa wanaweza kumzidi Chibu kwa sauti nzuri, lkn uandishi na ujanja ujanja wasimpate
Ujanja ujanja tu....ila umewasahau hawa
Jux
Vanny
Ben pol
Jay melody
Linah
Nandy
Hata bright naye anamshunda

Ila kumbuka mi team MOND...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…