BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Mbona unahangaika mkuuKama mlikuwa hamjui basi sisi wasanii wote tunajua kuwa Basata inatumiwa na Juliana kumsumbua Diamond kwakuwa aliwahi kuzungumza maneno ya kumkashifu hivyo bado ana kinyongo nae.
Mara kadhaa Diamond amekuwa akionana na Mwakyembe, na hata jana Mwakyembe ameulizwa swali la kufungiwa Diamond kasema hawezi kulizungumzia.
Makonda ni mlezi wa WCB. Hivyo Diamond anajivunia watu hao akiamini huyo Shonza hamtishi kwakuwa yeye ana back up ya wakubwa zaidi ya Shonza.
NB: Wasanii tukikaa studi au bar tujadili muziki, tusiwajadili wana muziki na mapungufu yao. Hayo ni majungu
Wewe ndie juliana shonza ?Kama mlikuwa hamjui basi sisi wasanii wote tunajua kuwa Basata inatumiwa na Juliana kumsumbua Diamond kwakuwa aliwahi kuzungumza maneno ya kumkashifu hivyo bado ana kinyongo nae.
Mara kadhaa Diamond amekuwa akionana na Mwakyembe, na hata jana Mwakyembe ameulizwa swali la kufungiwa Diamond kasema hawezi kulizungumzia.
Makonda ni mlezi wa WCB. Hivyo Diamond anajivunia watu hao akiamini huyo Shonza hamtishi kwakuwa yeye ana back up ya wakubwa zaidi ya Shonza.
NB: Wasanii tukikaa studi au bar tujadili muziki, tusiwajadili wana muziki na mapungufu yao. Hayo ni majungu
Kwa kauli zake huyu atakua taarabuHivi wewe ni msanii wa miendeko ipi? Hip hop au wabana pua?
Atakuwa Isha Mashauzi bila shaka.Kwa kauli zake huyu atakua taarabu
Kalapina harakati yule hawezi poteza mda kwenye majunguAtakuwa Isha Mashauzi bila shaka.
Mh! Lakini subiri, asije akawa ni Kalapina a.k.a nabii Koko.
Mambo yanabadilika huo ukweli hata wenyewe wameuonafiesta imepita kama ushuzi....
Basi ni muimbaji wa Taarabu huyu. Akisogea saaaana atakuwa ni Maua sama ( sijui nimepatia jina lake)Kalapina harakati yule hawezi poteza mda kwenye majungu
Kafanyaje?Hugo dogo hana nidhamu...
Siwapendi clouds lakini inatakiwa azichange karata zake vizuri.