BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Kama mlikuwa hamjui basi sisi wasanii wote tunajua kuwa Basata inatumiwa na Juliana kumsumbua Diamond kwakuwa aliwahi kuzungumza maneno ya kumkashifu hivyo bado ana kinyongo nae.
Mara kadhaa Diamond amekuwa akionana na Mwakyembe, na hata jana Mwakyembe ameulizwa swali la kufungiwa Diamond kasema hawezi kulizungumzia.
Makonda ni mlezi wa WCB. Hivyo Diamond anajivunia watu hao akiamini huyo Shonza hamtishi kwakuwa yeye ana back up ya wakubwa zaidi ya Shonza.
NB: Wasanii tukikaa studi au bar tujadili muziki, tusiwajadili wana muziki na mapungufu yao. Hayo ni majungu
Mara kadhaa Diamond amekuwa akionana na Mwakyembe, na hata jana Mwakyembe ameulizwa swali la kufungiwa Diamond kasema hawezi kulizungumzia.
Makonda ni mlezi wa WCB. Hivyo Diamond anajivunia watu hao akiamini huyo Shonza hamtishi kwakuwa yeye ana back up ya wakubwa zaidi ya Shonza.
NB: Wasanii tukikaa studi au bar tujadili muziki, tusiwajadili wana muziki na mapungufu yao. Hayo ni majungu