Mwakyembe na Makonda wanampa kiburi Diamond

we jamaa mbona hueleweki?
 
Basata wenyewe hawaeleweki! Wimbo wa Mwanza aliumba na kuucheza Naibu Spika kule Burundi. Basata wanaulizwa hawakutoa majibu ya kueleweka!
 
Sasa Mbona Hautuambii Kwamba Mwakyembe anampaje Kiburi Hyo Dogo?
 
Hugo dogo hana nidhamu...
Siwapendi clouds lakini inatakiwa azichange karata zake vizuri.

Wanamdekeza sana huyo fala aka Dayamondi. Yeye si lolote nchi hii sema ana take advantage ya kuwa katika kizazi cha nyoka!!! Kuna wajinga wengi zaidi hivi sasa kuliko before miaka ya 80
 
Hawa mapopoma wenzako wameiba sred yako
 
Wabongo kushobokea watu na vitu vya hovyo. Alas!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…