Heshima mbele wakubwa!
Mimi nimekuwa nikipita mara kwa mara na nimeguswa sana na moyo wa wengi hapa wa kufundishana na kusaidiana utaalamu wa biashara na ujasiriamali. Nimeona pia kuna ari ya kujiendeleza na kujikwamua kiuchumi na kimaisha. Nafikiri huu mwaliko hapa ndipo mahala pake.
Bila shaka wengi hapa mnaifahamu tovuti ya LinkedIn.com - basi kule kuna group moja linaitwa Tanzania Investors & Enterpreneurs ambayo kila mpitaji na mshiriki wa business & economic forum ya JF anaweza kuifurahia.
LinkedIn.com ni tovuti yenye kuunganisha watu (social networking) kama Facebook, lakini yenyewe ni ya "professionals" na mahusiano mengi huko ni ya kufahamiana aidha kibiashara na/au kikazi. Lengo la hilo kundi ni "... a networking platform for investors, entrepreneurs, explorers, friends and nationals with business interests in Tanzania." Ninachofurahia LinkedIn kwa maswala ya biashara ni uwazi wa wahusika... unabadilishana mawazo na watu ambao unaona walikosoma, kufanya kazi, wasifu wao kupitia picha na kadhalika. Sasa hivi hilo kundi lina wafanyabiashara wanaotaka kuzungumza na wajasiriamali wanohitaji msaada kuingiza bidhaa zao katika soko la Marekani, wajasiriamali wanaotafuta partner wa kufanya agribusiness Mwanza na wanaotafuta wawekezaji sekta ya safari za anga.
Ndugu, naamini wewe unastahili na mwaliko ndio huu! Tafadhali tuonane @ http://www.linkedin.com -> Groups -> Tanzania Investors & Enterpreneurs.
Shukurani kwa michango yenu hapa.
Mungu tubariki WaTanzania!
Mimi nimekuwa nikipita mara kwa mara na nimeguswa sana na moyo wa wengi hapa wa kufundishana na kusaidiana utaalamu wa biashara na ujasiriamali. Nimeona pia kuna ari ya kujiendeleza na kujikwamua kiuchumi na kimaisha. Nafikiri huu mwaliko hapa ndipo mahala pake.
Bila shaka wengi hapa mnaifahamu tovuti ya LinkedIn.com - basi kule kuna group moja linaitwa Tanzania Investors & Enterpreneurs ambayo kila mpitaji na mshiriki wa business & economic forum ya JF anaweza kuifurahia.
LinkedIn.com ni tovuti yenye kuunganisha watu (social networking) kama Facebook, lakini yenyewe ni ya "professionals" na mahusiano mengi huko ni ya kufahamiana aidha kibiashara na/au kikazi. Lengo la hilo kundi ni "... a networking platform for investors, entrepreneurs, explorers, friends and nationals with business interests in Tanzania." Ninachofurahia LinkedIn kwa maswala ya biashara ni uwazi wa wahusika... unabadilishana mawazo na watu ambao unaona walikosoma, kufanya kazi, wasifu wao kupitia picha na kadhalika. Sasa hivi hilo kundi lina wafanyabiashara wanaotaka kuzungumza na wajasiriamali wanohitaji msaada kuingiza bidhaa zao katika soko la Marekani, wajasiriamali wanaotafuta partner wa kufanya agribusiness Mwanza na wanaotafuta wawekezaji sekta ya safari za anga.
Ndugu, naamini wewe unastahili na mwaliko ndio huu! Tafadhali tuonane @ http://www.linkedin.com -> Groups -> Tanzania Investors & Enterpreneurs.
Shukurani kwa michango yenu hapa.
Mungu tubariki WaTanzania!