Mwaliko na masharti ya ajabu Eid

Kwani lazima kwenda? Pika kwako ka biriani kako na soda ya peps baridiiii...
 
Umenichekesha sana mkuu
 
Mdakuzi karibu Eid, mi nitakuacha ujipakulie mwenyewe usijali b…
Asante b... nitakaribia. Inakuwa Eid al Adha ya kipekee kwangu kula kando ya mrembo haswa, ambaye ndiye mpishi wa huo mlo wa sikukuu.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…