Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenichekesha sana mkuuKuna waislamu na wachilamu, hawa wamejaa chuki na kwa wasio waislamu kila kitu kwao ni udini ndio wanatanguliza.
Note nilichandika waislamu wanaoijuwa vizuri dini yao ni wakarimu sana.
Leo Markaz wanagawa nyama nenda uone wale waislamu kanzu wanachukuwa viroba vya nyama kwenda kuuza.
Sioni umuhimu wa kugombania wali, wakati kuna kazi muhimu za kufanya hapa duniani. 🤒🤒Tsh 2500/dollar moja tu.Tunakoelekea utamwambia akanunue kilo moja ajipikie na aule peke yake hadi achakae.
Hata kama, mambo ya kulilia pilau tuachie watoto.. 🤨🤨.Kwa mama ntilie ile siyo pilau ni wali wa vumbi umebadirishwa rangi tu.
Kuna wazee wa kupakuwa minyama.Mdakuzi karibu Eid, mi nitakuacha ujipakulie mwenyewe usijali b…
Wanasema wali/pilau la shughuli huwapa watu wengi ukichaa wa muda kwa utamu wake.Sioni umuhimu wa kugombania wali, wakati kuna kazi muhimu za kufanya hapa duniani. 🤒🤒
Sina noma nae, atakula na kula tena 😜Kuna wazee wa kupakuwa minyama.