Mwalim Alex Kashasha, mtaalamu maahiri wa Soka asiyeonekana

Nimependa tafakuri ya mtaalam huyu wa uchambuz wa soka tena kwa Madaha.naomba cv yake tafadhal
Mwaka 2005 alikuwa ni Mwalimu wa shule ya pale ilala kuna shule mbili pacha kama kumbukumbuku yangu ni nzuri moja inaitwa kigoma. Ama la..!
Ni mcheshi mchangamfu na bila shaka ni rafiki wa wengi kwa kuhusu CV yake natumai aweza iweka hapa mwenyewe.
 
Hahahahaaa
Asante mwalimu kashasha.... mpambano huu unaletwa kwenu kwa udhamini wa rungu max gudigudi, wembe bora kabisa kwa kunyolea nywele za kila maeneoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
halafu hawataji maeneo yote ambayo yanaweza kunyolewa na wembe huo zaidi ya nywele za kichwaniπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Siyo kila post lazima kuchangia, mfano ni hii hapa.

Totally irrelevant, sidhani kama unajua kinachojadiliwa hapa.
Toa up.uuzi wako hapa kila mtu anachangia kile anachoona kina faa...don't tell what I can or I can't do stupid...alafu potea hakuna mtu amekuleta hapa mbwisye ww
 
Basi kumbe ndo maana anapendwa. Mbwembwe na fiksi ndo vitu wabongo vinawapagawisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…