Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
😬 It's just myself talking to myself about myself
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😬 It's just myself talking to myself about myself
😂😂Moderators nao hawafanyi kazi zao vizuri
Wana viherehere Sasa hivi mambo yote kiganjaniHao watoto waacheni
Sio zimezidi ndo uhalisia huo Sasa hivi zinatoka kwa kuna smartfoniHizi habari za walimu kuumiza wanafunzi zimezidi sasa kuna nini waalimu au ndio mmeshindwa kudai mishahara mikubwa?!
Wana stress za maisha, siyo kuvuta bangi, wavuta bangi huwa ni watu focused na mambo yaoKuna baadhi ya walimu katika shule nyingi wanavuta BANGI!!!
matokeo yake matendo wanayo wafanyia wanafunzi ni ya kibqngi bangi.
Waajiri pimeni maadili ya walimu kabla ya kuwaajiri,
PCCB“Tulishamalizana na mwalimu, tukio limetokea kwa bahati mbaya. Nipo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) (ilikuwa jana (juzi) asubuhi) chumba cha upasuaji siruhusiwi kuongea na simu,” alisema.
Hahaha walimu kutoka kua kada inayoheshimika enzi hizo hadi kua wavuta bange😁😁 hapa adui ujinga ameshakua best friend wetu, tatizo amekuja kurithiwa na adui nyegeKuna baadhi ya walimu katika shule nyingi wanavuta BANGI!!!
matokeo yake matendo wanayo wafanyia wanafunzi ni ya kibqngi bangi.
Waajiri pimeni maadili ya walimu kabla ya kuwaajiri,
Ukiona Mwlm ana matendo ya ajabu ajabu kama tunayo yashuhudia jua kuwa huyo Mwlm ni mvuta bangi.Wana stress za maisha, siyo kuvuta bangi, wavuta bangi huwa ni watu focused na mambo yao
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Walimu wasiangaike pia sana na mitoto ya watu kiasi cha kuhatarisha maisha yao kisa mtoto wa mtu...
Kazi wanayoifanya ni kubwa ila hawathaminiki so wawashike watoto walio tayari kusaidika tu watoto wengine hao pasua kichwa wawape suspension na uhamisho wa lazima.....wakizidi mipaka fukuza shule