Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Mtu akinifanya chizi ahakikishe nisijue milele maana nikijua ntakachomfanya atasimulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa TZ zipo bungeni, mahakama yàni mihimili yote watendaji wanaamini Sana hayo madudu.Imani za kijima.
Inakuwa vigumu sana kuendelea.Kwa TZ zipo bungeni, mahakama yàni mihimili yote watendaji wanaamini Sana hayo madudu.
Ukishaku chizi utajuaje kwamba umefanywa chizi wakati uko bize majalalani?Mtu akinifanya chizi ahakikishe nisijue milele maana nikijua ntakachomfanya atasimulia
Ulichoandika ni sawa na kusema mtu akikuua na wewe utamuua😀Mtu akinifanya chizi ahakikishe nisijue milele maana nikijua ntakachomfanya atasimulia
Hahaha. Ndo wale babu yake adriz walikuwa wananywesha mbusii sodaLindi nako kunatisha baada ya mwaka wa kwanza wa magufuli bei ya korosho kutia fora kwa kufika 4000 kwa kilo watu wengi walirudi mijini na kuja huku vijijini kudai mashamba ya urithi ambayo waliyatelekeza hatimae ongezeko la machizi lilikua kwa kasi mno
Tabora ni balaa...! Wanawake wa huku wana jambo lao hata kama siyo mke wako ila mpenzi. Anaenda kwa sangoma ana kutengeneza vizuri kabisa sembuse mkeIzo mambo za kuziman data hta uku tbra zipo
Inategemea tu,mpaka anefikia hatua ya kumfanyia hivi mwenzie inawezekana walijibishana na huyo mchepuko akawa anamjibu vibaya akaona ngoja nimkomesheNdiyo maana nikasema huyo mwanamke angeweza kumlimit/kumpumbaza mumewe ili anuwaze yeye tu badala ya kumuharibu binti wa watu.
Umeandika vyema ila sasa swali linakuja hapa;Nilimsikia wife akisema Joy mdogo wake akitembea na Mimi hatanilaumu Mimi bali atamshumghulikia joy mdogo wake.
Aliongeza kusema kuwa mwanaume anamkula yeyote anayepita mbele zake. Mwenye uwezo wa kukataa ni mwanamke na si mwanaume.
That's why huyo binti angeweza kukataa awali alipotongozwa au kumwacha mwanaume wa mtu kwa urahisi pindi alipopewa onyo kuliko huyo mume wake kumuacha huyo binti.
Hapo sasa kinachowauma wanawake ni waume zao kutoka na wanawake anaowafahamu hasa ndugu au marafiki zake wa karibu.Umeandika vyema ila sasa swali linakuja hapa;
Ikiwa Me' anamkula yeyote anayepita mbele yake je, atawashugulikia wakina Joy wangapi?
Sema acha ushoga mkuu Mungu apendiDunia imechafukwa sana.
Ubinadamu umekwisha
maisha yenyewe haya yalivyo mafupi unamfanya mwenzio kichaaUbhukile msani wa JF.
Kwa kifupi; Nilikuwa napita maeneo fulani hapa Lushoto nikamuona dada flani akipita na kuimba huku akikata kiuno ndipo nikakumbuka stori hii hapa chini.
Ilikuwa tarehe za mwishoni mwa mwaka nikitokea Dar to Iringa nikapata usafiri wa IT iliyokuwa inaenda Zambia, tulifika pale mlandizi - Pwani ikabidi jamaa asimame tupate mlo wa usiku.
Wakati nakaa nikasikia sauti ya kike "mwalimu umekuja, ninunulie chakula au naomba hela..."
Sikushituka sababu siyo mwalimu, ila nikageuka kumuangalia ni nani nikamuona mwanadada kasimama nyuma yangu alikuwa mwanamke mmoja mrefu hivi, mrefu kashika fimbo ananiangalia.
Sikumjibu chochote hadi akaondoka pale nilipokuwa nimekaa, ndipo nikamuuliza mama muuza chakula vipi huyu dada mbona mzuri na ana hali hii?, na haya ndiyo majibu yake.
"... Huyu mwalimu alikuwa anafundisha shule (x) hali aliyonayo ni kwa sababu alikuwa anatembea na mume wa mtu, hivyo mwenye mume kamuonya mara kadhaa aachane na mume wake akawa hasikii ndipo mwenye mume (mwanamke) akaenda kwa wataalam wakamshugulikia kwa kumuharibu akili na ndiyo unavyomuona"
Ukweli kwa mdau uliye JF unaishi maeneo ya mlandizi basi utakuwa umemfaham au kumuona huyo mwalimu, hakika ni mzuri kiumbo nadhani hata sura, ilikuwa usiku so nisingeweza kupata picha.
Ila in vision unaweza kupiga picha wale wanawake wa kinyarwanda walivyo ndivyo na huyo alivyo.
Swali na Jibu ni kwa nini huyo ke' aliyemfanya hivyo mwenzake asimzuie mumewe kwa kumfunga na hayo madawa badala yake amemuacha mumewe ambaye ni sababu na anaweza kutafuta ke' mwingine huku kamharibu mwenzake?.
Nawasilisha.