Mwalimu afanywa chizi kisa na mkasa ni huu!

Dunia ya leo kuna watu bado wanarogana sababu ya mapenzi.

Kama wanajua kweli kuroga kwanini wasiroge wawe matajiri.
 
Hahaha. Ndo wale babu yake adriz walikuwa wananywesha mbusii soda
 
Ndiyo maana nikasema huyo mwanamke angeweza kumlimit/kumpumbaza mumewe ili anuwaze yeye tu badala ya kumuharibu binti wa watu.
Inategemea tu,mpaka anefikia hatua ya kumfanyia hivi mwenzie inawezekana walijibishana na huyo mchepuko akawa anamjibu vibaya akaona ngoja nimkomeshe
 
Inategemea tu,mpaka anefikia hatua ya kumfanyia hivi mwenzie inawezekana walijibishana na huyo mchepuko akawa anamjibu vibaya akaona ngoja nimkomeshe
Kama umenielewa ndicho nilichoandika.
 
Nilimsikia wife akisema Joy mdogo wake akitembea na Mimi hatanilaumu Mimi bali atamshumghulikia joy mdogo wake.
Aliongeza kusema kuwa mwanaume anamkula yeyote anayepita mbele zake. Mwenye uwezo wa kukataa ni mwanamke na si mwanaume.
That's why huyo binti angeweza kukataa awali alipotongozwa au kumwacha mwanaume wa mtu kwa urahisi pindi alipopewa onyo kuliko huyo mume wake kumuacha huyo binti.
 
Umeandika vyema ila sasa swali linakuja hapa;

Ikiwa Me' anamkula yeyote anayepita mbele yake je, atawashugulikia wakina Joy wangapi?
 
Umeandika vyema ila sasa swali linakuja hapa;

Ikiwa Me' anamkula yeyote anayepita mbele yake je, atawashugulikia wakina Joy wangapi?
Hapo sasa kinachowauma wanawake ni waume zao kutoka na wanawake anaowafahamu hasa ndugu au marafiki zake wa karibu.
Yaani ukitoka na ndugu yake au rafiki au jirani yake lazima pachimbike
 
maisha yenyewe haya yalivyo mafupi unamfanya mwenzio kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…