Mwalimu ahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa kumbaka mwanafunzi na kumpa ujauzito

Mwalimu ahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa kumbaka mwanafunzi na kumpa ujauzito

Daa Tumempoteza Baharia Mwenzetu!!!

Pole Baharia Tako Lilikuponza[emoji29]
 
Mtoto atalelewa na Nini! Aje kuwa mtoto wa mtaani kwa Kisha kumfunga dingi....

Aachiwe huru tu akalee mwanae...
 
Mi sheria sizielewagi hivi kama alikua anagawa hadi kwa wananzengo na labda kuna baharia mwingine tu ndio katia hiyo mimba wanajuaje huko mahakamani? mtoto akizaliwa kuna DNA?au ndio ishatoka?
 
Basi waache ualimu wakawe boda boda na wauza chips wawafaidi vizuri hao dents.
Wanafunzi huwa wanapangwa na wazazi wao ikitokea amepata mimba na kama kuna siku alishawahi kumtunuku mwl basi ujue hatajwi yeyote ispokua mwl,mwanafunzi hata apitiwe na Kijiji kizima bado mwl ndio atakua wa kwanza kutajwa,why?
 
Na mie nashangaa hapo, wakati huyu inatakiwa awe amesha hitimu kidato cha 4.
mkuu acheni kuleta stori za kitoto wengi humaliza shule kidato cha 4 wakiwa na miaka 18 na kuendelea hiyo 16 ni mboga 7
 
Kuonea watu tu kunabinti hapa kitaa wakusoma alichonga funguo geti akawa anatoka night. Mshua alfajili anatoka kuswali Mara paap geti linafungulia kwa nje mshua kajua vibaka. Mara paap binti yake wahuni wamemkuja all night long. Kipondo heavy kamtaja Boda boda. Kufatwa boda anasema hamtaki hata apewe bure
 
Walimu wananyoishwa kweli ila wauza kiepe wanapeta!au title ya ualimu ndiyo inawa cost

Ova
 
mkuu acheni kuleta stori za kitoto wengi humaliza shule kidato cha 4 wakiwa na miaka 18 na kuendelea hiyo 16 ni mboga 7
Wee nae muongo sasa khaaa 16 std 6? Ina maan huyo 18 ya kumaliza 4 huyo binti atakua 4m 1, umeona tatizo lililopo,

Tena saivi hakna mboga 7 wala 1, wote 16 wanamaliza 4m 4.
Mie mwenyewe 16 nimemaliza 4m 4, wala sio mboga 7 hivyo.
 
Wanafunzi huwa wanapangwa na wazazi wao ikitokea amepata mimba na kama kuna siku alishawahi kumtunuku mwl basi ujue hatajwi yeyote ispokua mwl,mwanafunzi hata apitiwe na Kijiji kizima bado mwl ndio atakua wa kwanza kutajwa,why?
Mwl maadili ya kazi hayajui? Iweje amtake mtoto anaempa mafunzo, tena huyo mwl ana familia tayari, alikosa nn kwa mkewe? Haya wanawake wa mtaani kwake ni haramu?

Eeeh si mnapenda vitoto vidogo (virgins), sasa matokeo yake n 30 yrs jail, haijalishi alipita pia boda boda, muuza chips wala nani.

Walimu wazingatie ustaarabu, maadili na malezi mazuri kwa wanafunzi.
 
Wee nae muongo sasa khaaa 16 std 6? Ina maan huyo 18 ya kumaliza 4 huyo binti atakua 4m 1, umeona tatizo lililopo,

Tena saivi hakna mboga 7 wala 1, wote 16 wanamaliza 4m 4.
Mie mwenyewe 16 nimemaliza 4m 4, wala sio mboga 7 hivyo.
wewe ni mboga 7 japo si kiivyo nafurahi umetambua hilo

wa tz wengi huanza std 1 na miaka 7 na kumaliza na 14 ujajumlisha mi 2 ya kurudia darasa

kijijini miaka 16 yuko la 6 mbona kawaida sana
 
Nimecheka hapa hii aina ya ubakaji ni noma,yaani mbakaji anaanza kuvua nguo alafu anakuomba na wewe uvue,alafu kesho hivyo hivyo twende vichakani vua nguo alafu vilevile,huku sio kubakwa jameni,mtoto alikuwa anasikilizia utamu ndio maana alikuwa haendi kusema
 
Back
Top Bottom