Boda boda wanajilia tu! Wauza chips wanajilia tu! Akijaribu tu mwalimu, miaka 30!! Kudadek bora kuchukua mhudumu wa bar!kuoneana tu
Basi waache ualimu wakawe boda boda na wauza chips wawafaidi vizuri hao dents.Boda boda wanajilia tu! Wauza chips wanajilia tu! Akijaribu tu mwalimu, miaka 30!! Kudadek bora kuchukua mhudumu wa bar!
Wanafunzi huwa wanapangwa na wazazi wao ikitokea amepata mimba na kama kuna siku alishawahi kumtunuku mwl basi ujue hatajwi yeyote ispokua mwl,mwanafunzi hata apitiwe na Kijiji kizima bado mwl ndio atakua wa kwanza kutajwa,why?Basi waache ualimu wakawe boda boda na wauza chips wawafaidi vizuri hao dents.
mkuu acheni kuleta stori za kitoto wengi humaliza shule kidato cha 4 wakiwa na miaka 18 na kuendelea hiyo 16 ni mboga 7Na mie nashangaa hapo, wakati huyu inatakiwa awe amesha hitimu kidato cha 4.
Wee nae muongo sasa khaaa 16 std 6? Ina maan huyo 18 ya kumaliza 4 huyo binti atakua 4m 1, umeona tatizo lililopo,mkuu acheni kuleta stori za kitoto wengi humaliza shule kidato cha 4 wakiwa na miaka 18 na kuendelea hiyo 16 ni mboga 7
Mwl maadili ya kazi hayajui? Iweje amtake mtoto anaempa mafunzo, tena huyo mwl ana familia tayari, alikosa nn kwa mkewe? Haya wanawake wa mtaani kwake ni haramu?Wanafunzi huwa wanapangwa na wazazi wao ikitokea amepata mimba na kama kuna siku alishawahi kumtunuku mwl basi ujue hatajwi yeyote ispokua mwl,mwanafunzi hata apitiwe na Kijiji kizima bado mwl ndio atakua wa kwanza kutajwa,why?
wewe ni mboga 7 japo si kiivyo nafurahi umetambua hiloWee nae muongo sasa khaaa 16 std 6? Ina maan huyo 18 ya kumaliza 4 huyo binti atakua 4m 1, umeona tatizo lililopo,
Tena saivi hakna mboga 7 wala 1, wote 16 wanamaliza 4m 4.
Mie mwenyewe 16 nimemaliza 4m 4, wala sio mboga 7 hivyo.