Mwalimu ajinyonga kisa kuachwa na Mpenzi, aagiza azikwe Siku ya Valentine na Mpenzi ndio asome Wosia wake

Mwalimu ajinyonga kisa kuachwa na Mpenzi, aagiza azikwe Siku ya Valentine na Mpenzi ndio asome Wosia wake

Ticha hakuwa na kifua. RIP mwalimu 🙏🏿

Changamotoooo!

Screenshot_20240208_151359_Telegram.jpg
 
MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake baada ya mpenzi wake wa pembeni kumtema.

Marehemu aliyetambulishwa na polisi kama Dennis Mwaniki Njeru, 32, almaarufu kama Mukono, alipatikana amelala kwenye kitanda chake na barua aliyoandika kando yake.

Kulingana na polisi, marehemu alikuwa anavuja povu kupitia pua lake huku kemikali inayoshukiwa kuwa dawa ya kuua wadudu ikipatikana humo vilevile.

“Ni mwalimu kutoka Mbeere Kaskazini lakini anafunza katika shule ya Sekondari iliyopo Kaunti ya Kirinyaga, alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake. Uchunguzi wa awali umeonyesha alijtoa uhai,” alisema.

Kwenye kijikaratasi hicho, mwendazake alisema alichukua uamuzi huo baada ya mpenziwe kumkataa.

“Naweza nikaonekana mjinga lakini nimefungua moyo wangu kuhusu kinachoniumiza kwa watu 17 lakini hakuna aliyezungumza nami, acha tukutane mbinguni. Nimemsihi mpenzi wangu lakini yote yameambulia patupu. Nawapenda nyote,” alisema kupitia barua hiyo.

Bw Njeru vilevile ameacha maagizo kuhusu jinsi anavyotaka kuzikwa.

Ameagiza afisa mkuu katika Bunge la Kaunti pamoja na diwani wa eneo hilo kuongoza mipango ya mazishi yake.

Aidha, alisema azikwe Sikukuu ya Wapendanao almaarufu kama Valentine ambapo mpenzi wake anapaswa kusoma wosia.
Duuh kwani kitu kinacho itwa mapenzi bado kipo!
 
Hakuna stress kwenye kufundisha mrembo, usisikilize maneno ya watu
Naongea kitu ninachokifahamu, nina ndugu waalimu nawaona wanayopitia.

Lakini, kila mmoja na mtazamo wake na huo ni wangu juu ya hizo kada mbili.
 
Hayo maneno katika barua yake kuna cha kujifunza. Mtu akikueleza shida yake mpe muda wa kumsikiliza, hata kama ni jambo lisilovutia kusikiliza.
Mwisho mpe moyo, hata kama unaona ni ujinga anaosema.

Akili nyingi sana,hongera
 
Huu utamu huu unaleta madhara makubwa sana.

Mimi sijawahi kusikia wanyama wanajinyonga kwasababu ya mapenzi. Sisi huu upuuzi tunautoa wapi wanadamu?
 
MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake baada ya mpenzi wake wa pembeni kumtema.

Marehemu aliyetambulishwa na polisi kama Dennis Mwaniki Njeru, 32, almaarufu kama Mukono, alipatikana amelala kwenye kitanda chake na barua aliyoandika kando yake.

Kulingana na polisi, marehemu alikuwa anavuja povu kupitia pua lake huku kemikali inayoshukiwa kuwa dawa ya kuua wadudu ikipatikana humo vilevile.

“Ni mwalimu kutoka Mbeere Kaskazini lakini anafunza katika shule ya Sekondari iliyopo Kaunti ya Kirinyaga, alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake. Uchunguzi wa awali umeonyesha alijtoa uhai,” alisema.

Kwenye kijikaratasi hicho, mwendazake alisema alichukua uamuzi huo baada ya mpenziwe kumkataa.

“Naweza nikaonekana mjinga lakini nimefungua moyo wangu kuhusu kinachoniumiza kwa watu 17 lakini hakuna aliyezungumza nami, acha tukutane mbinguni. Nimemsihi mpenzi wangu lakini yote yameambulia patupu. Nawapenda nyote,” alisema kupitia barua hiyo.

Bw Njeru vilevile ameacha maagizo kuhusu jinsi anavyotaka kuzikwa.

Ameagiza afisa mkuu katika Bunge la Kaunti pamoja na diwani wa eneo hilo kuongoza mipango ya mazishi yake.

Aidha, alisema azikwe Sikukuu ya Wapendanao almaarufu kama Valentine ambapo mpenzi wake anapaswa kusoma wosia.
Huyo jamaa mjinga sana, mpenzi wa mtu ànaendaje kusoma wosia kwenye kaburi la x?
 
MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake baada ya mpenzi wake wa pembeni kumtema.

Marehemu aliyetambulishwa na polisi kama Dennis Mwaniki Njeru, 32, almaarufu kama Mukono, alipatikana amelala kwenye kitanda chake na barua aliyoandika kando yake.

Kulingana na polisi, marehemu alikuwa anavuja povu kupitia pua lake huku kemikali inayoshukiwa kuwa dawa ya kuua wadudu ikipatikana humo vilevile.

“Ni mwalimu kutoka Mbeere Kaskazini lakini anafunza katika shule ya Sekondari iliyopo Kaunti ya Kirinyaga, alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake. Uchunguzi wa awali umeonyesha alijtoa uhai,” alisema.

Kwenye kijikaratasi hicho, mwendazake alisema alichukua uamuzi huo baada ya mpenziwe kumkataa.

“Naweza nikaonekana mjinga lakini nimefungua moyo wangu kuhusu kinachoniumiza kwa watu 17 lakini hakuna aliyezungumza nami, acha tukutane mbinguni. Nimemsihi mpenzi wangu lakini yote yameambulia patupu. Nawapenda nyote,” alisema kupitia barua hiyo.

Bw Njeru vilevile ameacha maagizo kuhusu jinsi anavyotaka kuzikwa.

Ameagiza afisa mkuu katika Bunge la Kaunti pamoja na diwani wa eneo hilo kuongoza mipango ya mazishi yake.

Aidha, alisema azikwe Sikukuu ya Wapendanao almaarufu kama Valentine ambapo mpenzi wake anapaswa kusoma wosia.
Nachelea sana sana kumpuuza marehemu.

Siwezi kujisifu kuwa nina hekima kubwa kwenye hili.

Tuombe rehema ya Mungu maana mahusiano ni zaidi ya harakati za ugaidi
 
Hayo maneno katika barua yake kuna cha kujifunza. Mtu akikueleza shida yake mpe muda wa kumsikiliza, hata kama ni jambo lisilovutia kusikiliza.
Mwisho mpe moyo, hata kama unaona ni ujinga anaosema.
Point noted!!!!!
 
afya ya akili inatutafuna vijana
kwenye hiyo barua yake kuna ya kujifunza jamii mtu akiwa na matatizo tujitahidi kuzungumza nae
 
Back
Top Bottom