Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What is News Source? Chanzo cha habari yako ni nini?
chanzo nn?
Jaribu kufuatilia kuona cwt walifanya nini wakat wa kadhia yote R.I.P mwalimu
Iweje mtu afanye uhalifu/mauaji bila hata kushughulikiwa na vyombo vya usalama? Kwa nini huyu kijana (mpumbavu) aliyemshambulia mwalimu kwa mapanga hadi kupelekea kifo chake hajakamatwa mpaka leo?
.
Du RIP Mwalimu kuna watu hapa tz bado wako nyuma hasa huko umasaini mm nilishapoteza ndugu yangu Mwalimu huko minjingu kwa kisa cha haohao Wamasai, nivigumu hata kuwapa utawal wana hasira ndani ya dk 3
Hawa watu wanaoishi karibu na mipaka ya nchi jirani, akifanya kosa tu anakimbilia nchi jirani !!!! Akifika huko anabadili jina na kuendelea na maisha kama kawaida.