ualimu ni zaidi ya kufundisha.wakati nasoma advance hata nilipoingia first year niliamini ualimu sio lazma kusomea,niliamin hvyo kwasababu niliwahi kufundisha na nikawa nasifka kila kona hapo shuleni,Larkin baada ya kusoma course za ualimu nimegundua udhaifu wangu natamani nirudi kuomba msamaha kwa wanafunzi niliowafundisha.kwa ujumla ualimu unajifunza namna ya kustate general and specific objectives ambazo naamini Mwl wa mchikichn havijui.tena nlijifunza jinsi ya kufanya evaluation na aina za evaluation ili kubaini weakness kwa wanafunzi..mwisho niseme tu kwamba walimu wanafanya kazi ya kuitafsiri curriculum ambapo inahitaji skills za kutosha kufanya hivyo.walimu wa mtaani hajui hata syllabus inafananaje,wanawaoverload wanafunzi na kuishia kufeli.ndio pale unaposiki ,tuition zote alizosoma amefeli.