Sababu za kubadili taaluma ni zipi? Anabadili kwa sababu hataki ualimu? Yeye mwenyewe ana malengo gani? Sasa hivi kuna vijana wanaohitimu shahada wanakaribia kufika/wanafika 40,000 na ajira hazipatikani. Taaluma ambazo zina uhakika wa ajira ni udaktari na ualimu. Katika ushauri wako usisahau suala la ajira.