Damson88
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 259
- 24
Habarini za majukumu wanajamvi? Nina ndugu yangu ana cheti cha ualimu wa shule ya msingi ila angependa kujiendeleza kwa malengo ya kutaka kubadiri taaluma. Naomba ushauri wenu ili tuweze kujua asome kozi gani haswa kwa ngazi ya diploma na hapo baadae ataendelea. Naomba mchanganuo jamani, nimepewa jukum hili!