Kaka unafeli Sana ,, Social networks zipo Kwa ajili hii.Poleni kwa wafiwa ila binafsi sipendi taarifa kama hizi kwenye hizi social networks, je mtoa mada next of kin wa marehemu ana taarifa?,je kuna tamko kutoka police kuhusiana na mauaji haya?
Means wewe it's ok kusikia na kuona picha za baba ,mama,dada etc kwenye social networks siku wakifa?,sikulaumu matokeo ya kuishi ni pithole country, issue kama hii sherrif anakuja kwenye address ya next of kin na kumpa taarifa, sio kama mtoa mada hii alivyofanyaKaka unafeli Sana ,, Social networks zipo Kwa ajili hii.
Una uhakika mtoa mada ndio mtoa taarifa wa kwanza wa huu msiba? Yaani ndugu ndio wanaona hapa?Means wewe it's ok kusikia na kuona picha za baba ,mama,dada etc kwenye social networks siku wakifa?,sikulaumu matokeo ya kuishi ni pithole country, issue kama hii sherrif anakuja kwenye address ya next of kin na kumpa taarifa, sio kama mtoa mada hii alivyofanya
Mpwayungu njoo huku uoneGEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.
Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr
Aliyemchoma ni mwalimu wa Kike au kiume!?GEITA.
Kuna tukio la mauaji limetokea Mkoa wa Geita Wilaya ya Geita.
Mwalimu Emmanuel Peter Chacha wa shule ya msingi Igaka iliyoko halmashaur ya Wilaya ya Geita ameuwawa Leo march 15 Kwa kuchomwa kisu na mwalim mwenzake.
Marehem alichomwa kisu wakati akielekea darasani kufundisha.
Haijajulikana Kwa yakini sababu zilizopelekea kutoka Kwa tukio Hilo.
Hapa Chini ni picha ya marehem Mwl Emmanuel Peter Chacha enzi za Uhai wake.
So sad!View attachment 2552701
mpwayungu village Mshana Jr