potential girl
Member
- Aug 7, 2013
- 71
- 15
Amani kwenu wana jamvi...
Sote tulipitia mikononi mwa walimu...walimu wengine tutawakumbuka maisha yetu yote kwa ubora wao na kuwajibika kwao vizuri katika malezi bora na maadili.
Dunia ya sasa imebadilika kidogo na hata waalimu wamebadilika...ila sisi tumejaliwa watoto ambao watapitia mikononi mwa walimu hawa tunaoona hawana wito wala maadili ya kazi hii(haiba ya mwalimu)
Sisi kama jamii tujaribu kukumbushana sifa za mwalimu bora walau kama walimu watazingatia tutainua taifa letu kielimu.
Karibuni
Sote tulipitia mikononi mwa walimu...walimu wengine tutawakumbuka maisha yetu yote kwa ubora wao na kuwajibika kwao vizuri katika malezi bora na maadili.
Dunia ya sasa imebadilika kidogo na hata waalimu wamebadilika...ila sisi tumejaliwa watoto ambao watapitia mikononi mwa walimu hawa tunaoona hawana wito wala maadili ya kazi hii(haiba ya mwalimu)
Sisi kama jamii tujaribu kukumbushana sifa za mwalimu bora walau kama walimu watazingatia tutainua taifa letu kielimu.
Karibuni