Mwalimu jela miaka 30 kwa kubaka mwanafunzi

Mwalimu jela miaka 30 kwa kubaka mwanafunzi

Mtoto wa darasa la sita wa Sasa unabaka wapi jmn? Yaani kabisa unapata hisia kwa mtoto wa darasa la 6.

Basi mboo itakuwa na akili kubwa ya ushawishi kuliko vichwa vyetu vya kawaida. Duuh!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaongea hivyo, kizazi kipya haukiju?
Std 5 wengine wanavunja ungo tayari na kubadilika maumbo.
Hivi mwalimu anaweza kubaka mwanafunzi wake kweli!
Ilikuwakuwaje hadi kutekeleza huo uovu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angestaafu na miaka 50 angetulia ajilie penshion yake.

Amevuna alishopanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenifikirisha! Ivi kweli'eh? Ukishapugwa ndiyoivo tena pensheni hakuna!

Ila akimaliza hicho kisanga, kama atakimaliza mzima atalipwa stahiki zake kwa miaka aliyotumikia.

Lakini hajachoreshwa kweli, kwa umri huo inamaana ni mkongwe kazini, iweje aanze na hako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amakweli kichaa sio lazima aokote makopo. Father anaenda kuishi na Nyampala.
 
we uislamu haukejeli dini zingine acha mbwembwe
Dini yako inafundisha waamini wake ikiwemo wewe kuchukia imani zingine kwa sababu kadhaa ikiwemo

1. Kupotoshwa.
2. Hazifundishi watoto wao ugaidi.

Hii sio kejeli?
Biblia inasema Kristo alizaliwa kwenye hori la ng'ombe na yeye ni mwana wa Mungu dini yenu nini kiliiwasha hadi kuja kuandika ilichoandika ilihali hakuna yeyote katika watu wa muddy waliowahi kumuona hata mwanafunzi wa Yesu.
 
Dini yako inafundisha waamini wake ikiwemo wewe kuchukia imani zingine kwa sababu kadhaa ikiwemo

1. Kupotoshwa.
2. Hazifundishi watoto wao ugaidi.

Hii sio kejeli?
Biblia inasema Kristo alizaliwa kwenye hori la ng'ombe na yeye ni mwana wa Mungu dini yenu nini kiliiwasha hadi kuja kuandika ilichoandika ilihali hakuna yeyote katika watu wa muddy waliowahi kumuona hata mwanafunzi wa Yesu.

we ndio unakejeli dini yetu Nani" Muddy " alaf Hakuna aya hata moja Katika Quran inayoikejeli dini nyingine.

Kachukue Biblia yako fungua sehemu yenye maana ya maneno magumu ujue maana halisi ya Hori.

kingine nyie kwenu Yesu kwetu Issa Kama ukiona issa sio yesu fanya Kama unampotezea ili ibaki kuwa yesu ni yesu na issa ni issa vinginevyo hapa utaleta mjadala.
 
we ndio unakejeli dini yetu Nani" Muddy " alaf Hakuna aya hata moja Katika Quran inayoikejeli dini nyingine.
Unajitoa ufahami sio?
Hujui Muddy ni kifupi cha jina gani?

Kachukue Biblia yako fungua sehemu yenye maana ya maneno magumu ujue maana halisi ya Hori.
😰😰 unajaribu kusema nini?

kingine nyie kwenu Yesu kwetu Issa Kama ukiona issa sio yesu fanya Kama unampotezea ili ibaki kuwa yesu ni yesu na issa ni issa vinginevyo hapa utaleta mjadala.
Haya kapige madufu basi.
 
Back
Top Bottom