Mwalimu Jenifer unanimaliza sema huwa naogopa kukwambia

Mwalimu Jenifer unanimaliza sema huwa naogopa kukwambia

Shule zifunguliwe tu ujue beira boy kweli nimeamini we ni mwanafunzi nilikuwa nabisha sana
 
Nilipokuwa Darasa la Tatu, mwalimu wangu alinipenda sana akawa ananiita ''Mchumba wangu " kila akiniona.

Waliokuwa Darasa la saba wakati wakawa wananitania sana, mimi nlichukia sana, ila baadae alikuja kuacha kuniita hivyo na akaja kuhama shule akarudi kwao Arusha
Kwahiyo ulikuwa hupend kuitwa mchumba? Na mchuchu
 
Umenikumbusa madam alikuwa anatufundisha language 2 alikuwa kisu na shape la maana noma yani
 
Back
Top Bottom