DOKEZO Mwalimu Jimmy: Shule ya Sekondari Pandahill

DOKEZO Mwalimu Jimmy: Shule ya Sekondari Pandahill

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huu unaitwa mkurupuko eti jina linahifadhiwa Hapa JF
Lengo lenu tuendelee kujadili hii mada
 
Ameopoa kimasihara
Atafutwe popote alipo afunguliwe mashtaka ya:-
1-Ubakaji,
2-Kukaa kinyumba na mwanafunzi/mtoto
3-Kukosa adabu kwa familia na jamii kwa ujumla,
4-Kuidharau katiba ya nchi,
5-Kuacha kazi na kufanya mambo ya kizembe huku anazurula.
6-Kuonesha tabia mbaya kwa kutohimili na kuzuia nyege kumuendesha hadharani,
7-Kuwa mfano mbaya kwa watoto na jamii na ajitetee kwa nini asipewe adhabu kali na kutengwa na jamii iliyostaarabika.
 
Nashauri Rais WA TEC, Padri Gervais Nyaisonga, ambaye pia alishawahi kuwa Mkuu wa Shule ya Pandahill wamuondoe Mwalimu huyu katika hii shule ya Pandahill.

Amehusishwa na upotevu wa Mwanafunzi wa Kidato cha Tano Mchepuo wa PCB. Jina linahifadhiwa

Nawasilisha Ushauri huu Kwa Rais WA TEC
ivi unajua huyo binti alishawahi kutorokea kwa mwanaume akiwa kidato cha nne piah?
 
Mwalimu anatwishwa uhuni wa mwanafunzi mjinga.
"kama hauna ushahidi basi jifanye muhanga"

Hapo anajua alichokifanya(kutoroka shule) ni kosa na linaweza kumletea matatizo shule so anatumia nafasi yake nzuri ya kujitetea Kwa kutengeneza mazingira ya kuonewa huruma na kupunguza makali ya kesi Kwa upande wake.

Tungoje report ya uchunguzi
 
Nashauri Rais WA TEC, Padri Gervais Nyaisonga, ambaye pia alishawahi kuwa Mkuu wa Shule ya Pandahill wamuondoe Mwalimu huyu katika hii shule ya Pandahill.

Amehusishwa na upotevu wa Mwanafunzi wa Kidato cha Tano Mchepuo wa PCB. Jina linahifadhiwa

Nawasilisha Ushauri huu Kwa Rais WA TEC
Sawasawa
 
kulaa ale baba joseee kazi afukuzweee jimmy...??? mkuu achaa kichaa usiaminii MACHOZI NA MANENO YA MWANAMKE HASA ANAPOZINGUAA...yanii yule demu anafaa kulaa kipigoo na kutimuliwaa shulee aje kurudi siku ya mtihani wa nectaaa sio kuleaa ulee ujingaaa...shenzii kabisaa
 
Umeiacha "is" na "the" sehemu au umezidondosha mkuu.
These... ze na is nyingi ni kwa wale learner's mkuu sie legendary tuna foka tu mistari ki prof mwanzo mwisho Hadi wajukui wanapiga chafya babuuuu ulisoma lini na wapi ....
Rahaaaaaaaaaa Sana kizazi hiki kigumu Sana Cha kukalilishwa masomo
 
These... ze na is nyingi ni kwa wale learner's mkuu sie legendary tuna foka tu mistari ki prof mwanzo mwisho Hadi wajukui wanapiga chafya babuuuu ulisoma lini na wapi ....
Rahaaaaaaaaaa Sana kizazi hiki kigumu Sana Cha kukalilishwa masomo
Si kweli.Kujidanganya kuwe na mwisho.Rules are rules,fella!Without rules we are all savages!
 
Si kweli.Kujidanganya kuwe na mwisho.Rules are rules,fella!Without rules we are all savages!
Sasa ndo tumepiga shule na kutoboa kwa GPA za maana, note siyo GPA za hesabu au Physics zenye lots calculations bythen but social science kwamba kujieleza kwa Sana na bado paper zilieleweka na kilichojibiwa pia hakukuwa na kubana pua pia kwenye oral na panel ikawa nyepesi mkuu.
 
Back
Top Bottom