Mbona ziko shule karibu zote hapo za Kiislam alizofundisha? Kwa kusoma tu, napata taswira alikuwa ni muumini wa Kiislam. Hakuna shida!Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.
Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
AminaApumzike kwa amani. Hawa watu huwa naamini Mungu huwapa msamaha moja kwa moja.
Na Mwl MbugaDaahh
Miamba ya Mchikichini inaendelea kung'oka.
Mpe salamu Moody Physics, alama mumeziacha
Na Mwl Mbuga
Hapana nimemtambua tu kama Mwl Bora.Mbuga alishafariki?
Nimeona pia mtu amesema na Hidden Agenda pia. Ni za kweli hizi?
RIP TRMwalimu wetu/Rafiki yetu Mr. Mtegetwa Mng'ala amefariki Siku ya Leo katika Hospital ya Mloganzila, alipokuwa akipatiwa Matibabu.
Kwa Sasa Msiba upo Nyumbani kwake Ukonga- Bomba Mbili Ila utahamishiwa Nyumbani Kwao Ruvu Na mazishi yanatarajiwa kufanyika Siku Ya Ijumaa March 1, 2024 huko RUVU.
Best Teacher in Geography, mwalimu Mtegetwa alikuwa na kituo maarufu cha masomo ya ziada na kutoa mitihani Msimbazi, Dar es Salaam.
=======
Educational Background:-
He was also Employed as full and part time A level Geography Teacher at Various Secondary Schools
- Primary Education 1982 - 1988 At Ruvu Darajani Primary School Bagamoyo.
- Secondary Education ( O level ) 1989 - 1992 At Lugoba Secondary School.
- Utete Secondary School Rufiji.
- Zanaki Institute Of Adult Education DSM And AIC - DSM (A level ) August 1994 - May 1997.
- Univesity Of Dar Es Salaam - FASS 1998 2001
- Al Haramain Seminary (DSM) July 2001 - March 2005.
- Kinondoni Muslim (DSM) February 2002 - March 2003.
- Mororgoro Secondary School (Morogoro) May 2003 - July 2004.
- Ridhiwaa Seminary DSM August 2004 - September 2005.
- Telenets (T) LTD 2013 - 2015.
- Msolwa Seminary School (Morogoro) 2015 - 2016.
- Baobab Secondary (Bagamoyo)
'Kamanda' by Daz nundaz.....😭Mwalimu wetu/Rafiki yetu Mr. Mtegetwa Mng'ala amefariki Siku ya Leo katika Hospital ya Mloganzila, alipokuwa akipatiwa Matibabu.
Kwa Sasa Msiba upo Nyumbani kwake Ukonga- Bomba Mbili Ila utahamishiwa Nyumbani Kwao Ruvu Na mazishi yanatarajiwa kufanyika Siku Ya Ijumaa March 1, 2024 huko RUVU.
Best Teacher in Geography, mwalimu Mtegetwa alikuwa na kituo maarufu cha masomo ya ziada na kutoa mitihani Msimbazi, Dar es Salaam.
=======
Educational Background:-
He was also Employed as full and part time A level Geography Teacher at Various Secondary Schools
- Primary Education 1982 - 1988 At Ruvu Darajani Primary School Bagamoyo.
- Secondary Education ( O level ) 1989 - 1992 At Lugoba Secondary School.
- Utete Secondary School Rufiji.
- Zanaki Institute Of Adult Education DSM And AIC - DSM (A level ) August 1994 - May 1997.
- Univesity Of Dar Es Salaam - FASS 1998 2001
- Al Haramain Seminary (DSM) July 2001 - March 2005.
- Kinondoni Muslim (DSM) February 2002 - March 2003.
- Mororgoro Secondary School (Morogoro) May 2003 - July 2004.
- Ridhiwaa Seminary DSM August 2004 - September 2005.
- Telenets (T) LTD 2013 - 2015.
- Msolwa Seminary School (Morogoro) 2015 - 2016.
- Baobab Secondary (Bagamoyo)
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.
Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Kwani yeye alikuwa wa Elohim au Allah?Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.
Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Moody naye hatunaye? uzi nimechelewa kuuonaDaahh
Miamba ya Mchikichini inaendelea kung'oka.
Mpe salamu Moody Physics, alama mumeziacha