TANZIA Mwalimu maarufu wa Geography, Mtegetwa Mng'ala Afariki Dunia

Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Mbona ziko shule karibu zote hapo za Kiislam alizofundisha? Kwa kusoma tu, napata taswira alikuwa ni muumini wa Kiislam. Hakuna shida!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
RIP TR
 
Kumbe kafundisha na shule niliyosoma Msolwa seminary, alazwe mahala pema.
 
R.I.P Mtegetwa
Kwa wale wa Hgl mzunguko ulikuwa unaanza kwa Wagi Kamanija pale buguruni,unakuja kwa mtegetwa au unaenda chang'ombe kwa Ustaadh unakuja kumalizia kwa mtegetwa
 
D.T MSABILA bado hana mpinzani kwenye suala la geography

Mwendo umeumaliza, nenda salama mwalimu....
 
Uwe unaficha basi ujinga ndugu yangu kwenye post serious mbona unakua na tabia za kishamba hivyo?
 
'Kamanda' by Daz nundaz.....😭
 
Nilipata sifa zake , nikamtafuta kwa ajili ya somo la Jiografia kwa mwanangu nilifanikiwa kukutanq naye na kufanya naye mazungumzo lkn wakati huo alikuwa mgonjwa mwenye nafuu.

Maana ndo alikuwa ana recover kutoka kwenye maradhi ya KUPOOZA, nilipata story nyingi juu ya afya yake, mpka mtu niliyemuulizia na kumwambia nimepewq namba yake ya simu na nimempigia ameniita nikutane naye ,jamaa akasema twende wote maana ni wengi wanaotumia jina Lake kuvutia WANAFUNZI/WAZAZI wakati sio yy.

Alinisindikiza na kunitaarifu ndo mwenyewe niliongea naye na kupatana naye juu ya somo la JIOGRAFIA kwa mwanangu. NASHUKURU licha ya afya yake lkn Binti kuna alichoambulia kwa Mwl huyu.

Raha ya Milele Ampe eeh Bwana na Mwanga wa Milele Amwangaziee Apumzike kwa Amani.
 
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam

Sasa haya yanatokea wapi ewe mfia imani na tamaduni za waarabu.
 
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Kwani yeye alikuwa wa Elohim au Allah?
 
One of the best teacher, i have ever seen… Rest In Peace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…