Mwalimu Maganga, Katibu Mkuu CWT aliyekataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya arudishwa kwenye Ualimu

Bora maskini huru kuliko tajiri mtumwa
 
Wewe hujielewi unajua mshahara wa mkuu wa wilaya ni sawa na huo wa mwalimu hata angetenguliwa angebaki na mshahara wake wa mkuu wa wilaya na usingeshuka..

Kifupi ni kwamba alijisahau tena sana..
Hii nchi ishi kimachale sana.
 
Kwa hiyo maganga anachezea chaki sahvi

Ova
 
TANGAZO KWA UMMA. Daaah, Would it help nini kwa UMMA? Nimekereka sana na huu us***nge. Walimu wanaonewa sana
 
Walimu wanaonewa sana

Tatizo wanakikumbatia sana chama kongwe dola, kiasi CCM inahisi CWT - Chama cha Waalimu Tanzania ni Jumuiya mojawapo chini ya mwamvuli wao kama ilivyo UVCCM, UWT, WAWAZI pia BAKWATA inavyodaiwa na baadhi ya waTanzania kuwa ni Jumuiya ya CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…