Bora maskini huru kuliko tajiri mtumwaSasa unajua pesa aliyokuwa anapata kama Katibu Mkuu CWT ni kubwa na Ingeweza kulingana na Pesa ya Mkuu wa wilaya.
Ila kwa sasa anapelekwa kurudi kama Mwalimu mwandamizi Daraja A unajua anapata kiasi gani na atafundisha Shule ya msingi unajua udhalilishaji na majuto atakayopata maana hata diwani atakuwa boss wake sasa....KIPI NI BORA?
Walimu wawa mbogo wakali kutetea chaoHakuna mwalimu atamtetea kiongozi wa CWT. hao wapigaji
Na yeye atapewa kesi ya uhujumu uchumi na uhamiaji watahusikaWalimu wawa mbongo
25 Sept2023
Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Leah Ulaya amevitaka vyombo vingine vya Serikali kuacha kuingilia mambo ya chama hicho na wakiache kisimame chenyewe.
View: https://m.youtube.com/watch?v=eA7iBddOnaY
Wewe hujielewi unajua mshahara wa mkuu wa wilaya ni sawa na huo wa mwalimu hata angetenguliwa angebaki na mshahara wake wa mkuu wa wilaya na usingeshuka..Bwana Maganga ana akili sana tena kuzidi wewe mtoa mada alijua fika kuwa cheo cha ukuu wa wilaya ni cheo cha kwenda kudhalilishwa na alikuwa ametegwa ali atenguliwe na kupigwa bench kwa mgongo wa kupangiwa kazi nyingine …kwa hiyo alikuwa mbele ya muda na alifikiri zaidi yako….
Hivi kwa akili yako kabisa alikataa tuu bila kujua kitakachotokea? Alijua fika…
Bora afundishe kwa uhuru kabisa kuliko kwenda kudhalilishwa kwenye ukuu wa wilaya…
Yuko wapi jerry muro? Leo tuu mkuu wa wilaya ya Mtwara katenguliwa…
Alifanya jambo sahihi kabisa
Walimu wanaonewa sana
Ni mpango wa Mungu ili watanzania muone jinsi CCM ilivyo ya hovyo.Sio ethic za kazi.Mkurugenz angempa iyo letter mwenyewe siyo kuiweka direct.