Mwalimu Maganga, Katibu Mkuu CWT aliyekataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya arudishwa kwenye Ualimu

Mwalimu Maganga, Katibu Mkuu CWT aliyekataa uteuzi wa Ukuu wa Wilaya arudishwa kwenye Ualimu

Mantiki ya taarifa za mwajiriwa kuwekwa hadharani ni zipi?

Alipaswa apewe barua yake kisha aripoti kazini. Kubandikwa kwenye mbao za matangazo ni upuuzi usio na maana.

Mbona kabla ya hapo, vibali vyake havikuwa wazi?

Pathetic!.
Nami nimejiuliza sijapata jibu, kwani alitafutwa hajapatikana na kila anayeomba kibali kama hicho utangazwa kwa umma na nilipi lengo la kutangaza kwa umma?
 
Hii inanikumbusha kauli moja iliwahi kusemwa na wahenga kuwa ukibebwa bebeka na ukilishwa kamwe using'ate kidole kikulishacho ..

HATIMAYE RASMI SASA BWANA HUYO KUKIONA CHA MOTO KWA KURUDISHWA KITUO CHAKE CHA KAZI KAMA MWALIMU MWANDAMIZI DARAJA A KATIKA MANISPAA YA TEMEKE...
Kwa hiyo ulitaka akubali tu uteuzi hata kama hataki ukuu wa wilaya?
 
Bwana Maganga ana akili sana tena kuzidi wewe mtoa mada alijua fika kuwa cheo cha ukuu wa wilaya ni cheo cha kwenda kudhalilishwa na alikuwa ametegwa ali atenguliwe na kupigwa bench kwa mgongo wa kupangiwa kazi nyingine …kwa hiyo alikuwa mbele ya muda na alifikiri zaidi yako….

Hivi kwa akili yako kabisa alikataa tuu bila kujua kitakachotokea? Alijua fika…
Bora afundishe kwa uhuru kabisa kuliko kwenda kudhalilishwa kwenye ukuu wa wilaya…
Yuko wapi jerry muro? Leo tuu mkuu wa wilaya ya Mtwara katenguliwa…

Alifanya jambo sahihi kabisa
Bora umemfafanulia
 
Hii inanikumbusha kauli moja iliwahi kusemwa na wahenga kuwa ukibebwa bebeka na ukilishwa kamwe using'ate kidole kikulishacho ..

HATIMAYE RASMI SASA BWANA HUYO KUKIONA CHA MOTO KWA KURUDISHWA KITUO CHAKE CHA KAZI KAMA MWALIMU MWANDAMIZI DARAJA A KATIKA MANISPAA YA TEMEKE..
Kwahiyo huyo Mkurugenzi ameshindwa kuwasiliana na huyo Mwalimu moja kwa moja mpaka autume umma ukampelekee ujumbe?
 
Nami nimejiuliza sijapata jibu, kwani alitafutwa hajapatikana na kila anayeomba kibali kama hicho utangazwa kwa umma na nilipi lengo la kutangaza kwa umma?
Ni kama onyo kwa wote wanaokataa teuzi maana cheo alichoshushwa dah ni kama mkurugenzi umrudishe kuwa mtendaji wa kata🤣🤣
 
Bwana Maganga ana akili sana tena kuzidi wewe mtoa mada alijua fika kuwa cheo cha ukuu wa wilaya ni cheo cha kwenda kudhalilishwa na alikuwa ametegwa ali atenguliwe na kupigwa bench kwa mgongo wa kupangiwa kazi nyingine …kwa hiyo alikuwa mbele ya muda na alifikiri zaidi yako….

Hivi kwa akili yako kabisa alikataa tuu bila kujua kitakachotokea? Alijua fika…
Bora afundishe kwa uhuru kabisa kuliko kwenda kudhalilishwa kwenye ukuu wa wilaya…
Yuko wapi jerry muro? Leo tuu mkuu wa wilaya ya Mtwara katenguliwa…

Alifanya jambo sahihi kabisa
Unafikir atakuwa huru kufundisha Mkuu jiulize kwanza kwanini atangazwe na Tamisemi na sio Manispaa ya Temeke maana kuna kitu kinaandaliwa
 
Mantiki ya taarifa za mwajiriwa kuwekwa hadharani ni zipi?

Alipaswa apewe barua yake kisha aripoti kazini. Kubandikwa kwenye mbao za matangazo ni upuuzi usio na maana.

Mbona kabla ya hapo, vibali vyake havikuwa wazi?

Pathetic!.
Na hiyo ndo ya kufikiria sana kwanini..Na jibu ni moja tu lengo ni kumuathiri kisaikolojia na kumtengenezea mazingira katika kituo kipya ili ashindwe kuhimili kazi
 
Bora afundishe kwa uhuru kabisa kuliko kwenda kudhalilishwa kwenye ukuu wa wilaya…
Yuko wapi jerry muro? Leo tuu mkuu wa wilaya ya Mtwara katenguliwa…
angedhalilishwa kivipi kama performance yake ingekuwa ya kuridhisha?
 
Sasa unajua pesa aliyokuwa anapata kama Katibu Mkuu CWT ni kubwa na Ingeweza kulingana na Pesa ya Mkuu wa wilaya...

Ila kwa sasa anapelekwa kurudi kama Mwalimu mwandamizi Daraja A unajua anapata kiasi gani na atafundisha Shule ya msingi unajua udhalilishaji na majuto atakayopata maana hata diwani atakuwa boss wake sasa....KIPI NI BORA?
Ndio maana umechoka sana!
 
Sasa unajua pesa aliyokuwa anapata kama Katibu Mkuu CWT ni kubwa na Ingeweza kulingana na Pesa ya Mkuu wa wilaya...

Ila kwa sasa anapelekwa kurudi kama Mwalimu mwandamizi Daraja A unajua anapata kiasi gani na atafundisha Shule ya msingi unajua udhalilishaji na majuto atakayopata maana hata diwani atakuwa boss wake sasa....KIPI NI BORA?
Kwa kumtizama tu hana miaka 10 kazini anaenda kustaafu apewe mafao yake kama ilivyo kawaida maisha yaendelee.

So usimsikitikie sana wewe siyo mkewe,kingine kila mtu ana namna yake ya kupata ridhiki hujui aliona nini au alikuwa anapata nini alipokuwa ktk nafasi aliyokuwa wakati anakataa huo uteuzi so mwache atumie uhuru wake.
 
Back
Top Bottom