Mwalimu Mayanga atangaza kikosi cha timu ya taifa kitakachovaana na Algeria

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
Binafsi sijaona umuhimu wa Ulimwengu na Farid kuitwa ,huko kwenyewe hawachezi mpira mfano Ulimwengu hakupaswa kuitwa
Ila mwalimu anakariri

Mkude[emoji736]
Awesu[emoji736]
Buswita [emoji736]

Walifaa kujumuishwa sababu wamekuwa na kiwango bora msimu huu kwenye ligi

 
Algeria wa nini tena jamani..... hii si haki kwa kweli, Caf you are killing us
 
Sasa mkuu wewe ni Mwalimu??
Wakati mwingine tusijifanye sisi kila
Kitu tunajua

Siasa upo, Mpira upo, Daktari mshauri upo

Sasa najiuliza kwanini usichague kimoja maana mpira sio cheza domo
 
Aisee nikisikia kocha mwenye jina la kiafrica/ki Tz sijui Mayanga najua tu tayari lazima taifa stars ipigwe tu.Nna tatizo nahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…