Mkuu soma tena,mimi NILIISHI Magembe west na SIO jirani na wadada wa Magembe west!Jirani na wale wadada wa magembe west
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu soma tena,mimi NILIISHI Magembe west na SIO jirani na wadada wa Magembe west!Jirani na wale wadada wa magembe west
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Songea Boys,Iyunga na Mkwawa kwa vipindi tofauti S.S.Mbao amefariki dunia.
Wadau mliopita mikononi mwa Mbao katika Shule hizo imenipendeza kuwajuza.
Apumzike kwa amani S.S.Mbao
Mwalimu wamalezi , nilikutana nae mkoa wa dodoma mara ya mwishoAggrey West Kwa Mama Massaw
Magembe easy Kwa wadada na magembe west Kwa wanaume , mlikuwa jiraniMkuu soma tena,mimi NILIISHI Magembe west na SIO jirani na wadada wa Magembe west!
Maandazi ya Nelcon na yule mama aliyekuwa na kibinti chake jirani na Kwa Nelcon, ila wali wa makanyagio ulikuwa na hamira sana, Hass Kwa Mzee chuwa na nelconVijana wa Mkwawa Complex mpo wengi JF!Haya,mfike pale Makanyagio mbugie "mabanzi"!RIP mwalimu Mbao.
Mzee Chuwa anakuangalia kwa jicho lake kama amebugia mbege ujue!Mabanzi yalikuwa matamu na manono no matter what!Maandazi ya Nelcon na yule mama aliyekuwa na kibinti chake jirani na Kwa Nelcon, ila wali wa makanyagio ulikuwa na hamira sana, Hass Kwa Mzee chuwa na nelcon
Kwa watu wa Shabani Robert west Makanyagio ilikuwa kama home ukitoka Darasani unaingia Bwenini unapita Boiling Room kw kina Riz Moja, huyo makanyagioMzee Chuwa anakuangalia kwa jicho lake kama amebugia mbege ujue!Mabanzi yalikuwa matamu na manono no matter what!
Hahahaaaaa!Unapita ikulu,hapo ulipita "open-roof" ya Lumumba West kukata gogo kwa bwana Anold?Funny,huh?🤣🤣🤣🤣Kwa watu wa Shabani Robert west Makanyagio ilikuwa kama home ukitoka Darasani unaingia Bwenini unapita Boiling Room kw kina Riz Moja, huyo makanyagio
Tuliyatafuna sana mabanzi ya pale makanyagio.Vijana wa Mkwawa Complex mpo wengi JF!Haya,mfike pale Makanyagio mbugie "mabanzi"!RIP mwalimu Mbao.
Mkuu,Kwa watu wa Shabani Robert west Makanyagio ilikuwa kama home ukitoka Darasani unaingia Bwenini unapita Boiling Room kw kina Riz Moja, huyo makanyagio
Ndio mkuu tulikuwa na kijwe pale Kwa NelconMkuu,
Ulisoma enzi za Rizmoja? Sie wa SR East na wale wa West makanyagio ilikuwa sehemu ya maisha yetu.