Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wiki mil 500 kwisha?wiki
Kama wapo tu kwenye kundi la wale MISUKULE, haitashangaza! Ni haki yao kufanya hivyo. Ila kwa wale binadamu wa kawaida na wenye akili timamu, wanafahamu fika wanachotakiwa kufanya.Kuna walimu watamchagua Magufuli kwenye uchaguzi mkuu huu.
Alikuwa anapenda Sana starehe huyoMwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Chagua Magufuri ndiye raisi Pekee wa Africa Asiye CHEKA na nyani yeye ukizingua anakubwaga hana muda wa kubembelezaMwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Huyo ambaye ni ombaomba hayo maisha kayataka mwenyewe ameshundwa kujiwekea vitega uchumi wakati akiwa na nguvu Zake Aje asumbue watu UZEENI...... Hilo ni fundisho la wajinga wajinga wengine mjipange Kabla ya kustaafu Wekeni viaseti sio mnasubiri mstaafu Ndio muanze Kufanya kulialiaMwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Ana sababu zake za kutolipwa, badala ya kumsaidia uleta uzi huku ili iweje?Mwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Kama Mungu ananisikia naomba Magufuli akishinda akaze uzi mara tano ya alivyokaza miaka mitano iliyopita.Kuna walimu watamchagua Magufuli kwenye uchaguzi mkuu huu.
Ishia hapo hapoWenye akili wameelewa na kuchukua hatua kwenye sanduku la kura. Wewe baki na ujinga wako. Masaa yanayoyoma.
Kwa nini hakulipwa pension yake? Wacha uchochezi mkuu!Mwalimu Losia aliyekuwa mwalimu Mkuu wa shule ya msingi mjini Moroto amekuwa ombaomba mtaani baada ya kumaliza utumishi wa umma.Hakulipwa pensheni yake.
Kuna wangapi wa aina hii nchini Tanzania ambao wamekufa kwa stress, wamepooza mwili, na wanasononeka kwa kupata madhila haya?
Wengine wanapata pension ndogo kwa sababu ya kutopandishwa madaraja wakati wanastaafu miaka hii 5?
Siyo walimu tu Sky Eclat, matumishi ya umma hayajitambui! Kuna jinga moja juzi kati linanipigia simu eti kunishawishi nililitukana!!Kuna walimu watamchagua Magufuli kwenye uchaguzi mkuu huu.
Yaonekana wewe bado ni mtoto mdogo usiojua hata yanayotokea Tanzania. Hujui wapo wastaafu huu mwaka wa 3 hawajalipwa pensions zao? Wengine wameshafariki. Sababu ni urasimu serikalini. Mifuko ya jamii yenyewe ni mufulisi sababu ya Serikali kukopa bila kulipa.Kwa nini hakulipwa pension yake? Wacha uchochezi mkuu!
Acha matusi we avae mbwecha.Wapumbavu pekee ndio watamchagua Lissu
Serikali ya magu ina mshahara gani Wa maana haunaga nyongeza waka kupanda daraja.Mshahara alio kuwa analipwa alikua anaupeleka wapi. Au alikua anahonga wote. Polee yake
Lakini fisadi.Chagua Magufuri ndiye raisi Pekee wa Africa Asiye CHEKA na nyani yeye ukizingua anakubwaga hana muda wa kubembeleza