Mwalimu Mkuu awa ombaomba mtaani baada ya kustaafu

Huh ni upuuzi mtupu.

Mwalimu mkuu mstaafu anaomba omba mtaani? Alikua wapi miaka yote kujiwekeza ata kibiashara? Basi ata kufuga kuku tu au mbuzi.

Mwalimu mkuu mstaafu unakuaje omba omba, wakati undergraduate/graduate wa chuo aliyejiajiri kuuza karanga kwa mtaji wa 15,000 nk. Sio omba omba mtaani. Mambo mengine nikuendekezena tu.

Ila awe na subira atapata kiunua mgongo chake bado kunaflyover nying za kumalizia kujenga. Bado ndege tano za mizigo hatujanunua na mengine mengi. Nimkumbushe tu huyo mwalimu mkuu akumbuke kuwa makini akipata kiinua mgongo chake.

Kwa sababu walimu wastaafu wenzake wengi/ na wastaafu wa kada zingine, baada yakupata hizo pesa walipitiwa, wakashtuka zimekata. Namshauri hivo kwa sababu ametushangaza wengi, ameshituka tu anastaafu na hakuna alichowekeza cha kumsaidia wakati anasubiri mchakato wa yeye kupewa kiunua mgongo, ili asiwe omba omba mtaaani aibu tupu.

Naipenda nchi yangu Tanzania.
 

"Machungwa ni maembe kwa hiyo viazi ni spika"

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
CCM Oyeeeee. Tunataka maendeleo ya vitu na sio ya watu
 
Tatizo mnaishia mitandaoni..kura haipigwi huku..
 
Mkuu nafahamu sana nilikuwa natania tu ndugu yangu! Sasa janga limekuja tena na watajuta kuzaliwa hii mitano tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…