Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unachapwa fimbo kumi ukiwa unamwangalia tu?naamba tuongee hii hali ya ticha mkuu kumchapa mwanafunzi fimbo zaidi ya kumi eti hajalipa ada. mbaya zaidi anafanya hivyo wakati mitihani ya moku inaendelea.
Zingatia masomo, kuwa mwadilifu, fuata sheria na kanuni za shule. A teacher is there to assist u achieve your goalz.
nashangaa hata mimiunachapwa fimbo kumi ukiwa unamwangalia tu?
<br />naamba tuongee hii hali ya ticha mkuu kumchapa mwanafunzi fimbo zaidi ya kumi eti hajalipa ada. mbaya zaidi anafanya hivyo wakati mitihani ya moku inaendelea.
Walimu wengine wanakuwa kama hawana utu jamani, sasa mwanafunzi hajalipa ada anachapwa kwani hilo ni kosa lake?! Ukizingatia mwanafunzi ana mitihani! Ni wakushtakiwa tu huyo mwalimu!
Katika shule walimu wanawajua sana wanafunzi wakorofi,huyo mwanafunzi inawezekana alikuwa anamjibu mwalimu ovyo na sio kosa lake la kwanza,kwa hiyo tungesikiliza pande zote mbili kwanza na ndipo tujue tumlaumu nani ndio ingekua fear game.Halafu unauhakika gani kama ni kweli huyo mwalimu alitoa hiyo adhabu,inawezekana pia mwanafunzi amemzushia teacher,ili teacher aletewe noma na mzazi wake au na jamii kwa ujumla,kwa hiyo hawa wanafunzi tusiwaamini sana.
Kuna kitu kingine ambacho nisingependa kukiongelea sana kwa sababu sisi tumetokea hukohuko,mimi navyoelewa kumtandika mwanafunzi viboko ni kinyume cha sheria ya nchi na unaweza kumshtaki mwalimu,lakini tusifike huko manake bila viboko hakuna displine.
Zingatia masomo, kuwa mwadilifu, fuata sheria na kanuni za shule. A teacher is there to assist u achieve your goalz.
naamba tuongee hii hali ya ticha mkuu kumchapa mwanafunzi fimbo zaidi ya kumi eti hajalipa ada. mbaya zaidi anafanya hivyo wakati mitihani ya moku inaendelea.
Zingatia masomo, kuwa mwadilifu, fuata sheria na kanuni za shule. A teacher is there to assist u achieve your goalz.
We mtoto mtihani wa moku ni nini? Ndivyo ulivyofundishwa shuleni. Huenda ndiyo sababu unachapwa viboko.Mtoto wa kike anachapa fimbo zaidi ya kumi mkononi, anashindwa kuandika anaondoka kwenda nyumbani anaacha kufanya mtihani wa moku.