kumi naona kidogo sana! Kuna shule inaitwa TAQWA sec ya mwanza angalia matokeo yao centre no ni 578, kwa walio soma hapo wanafahamu viboko kumi ni vichache sana watu wanatembelea 15 hadi juu!
Mzazi ukubisha beba mwanao tafutashule ingine! but impact yake inaonekana! nncho pinga ni kutoa adhabu bila sababu, Lakini pia isiwe ya kumuumiza bali kumfunza mtoto, lakini kama mtoto anasumbua mvua imnyeshee tu! hawa watoto wetu wa shule za kata jamani hem fanyeni uchunguzi mtajua tu! Alafu kuiendesha shule ya kata inahitaji moyo mgumu sana! lasiivyo mtamlaumu huyo mkuu wa shule bure tu! namleta mada nahisi wewe ni mwalimu wa iyo shule na unamalengo yako hapa!