Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
wapendwa wana jf heshma kwenu!
me ni mwalimu mpya idara ya secondary kutoka mkoa wa kilimanjaro nimepangwa KIGOMA mwaka huu tar 01-04-2014 yan huwez amim mpaka leo hii nnavyopost hii thrend cjapata hata mshahahara mmoja.
nikifuatiLia wilayan wanasema nisubr cjaingia kwa payroll then maisha ni magumu sana nashndia viaz vya kuchemsha-
Naomben mnishaur cha kufanya coz hata headmaster ananiambia shule haina pesa ya kunisapport mpaka salary itakapotoka.
me ni mwalimu mpya idara ya secondary kutoka mkoa wa kilimanjaro nimepangwa KIGOMA mwaka huu tar 01-04-2014 yan huwez amim mpaka leo hii nnavyopost hii thrend cjapata hata mshahahara mmoja.
nikifuatiLia wilayan wanasema nisubr cjaingia kwa payroll then maisha ni magumu sana nashndia viaz vya kuchemsha-
Naomben mnishaur cha kufanya coz hata headmaster ananiambia shule haina pesa ya kunisapport mpaka salary itakapotoka.