Mwalimu mpya sijapata mshahara mwez wa 4 huu

Mwalimu mpya sijapata mshahara mwez wa 4 huu

Kv-london

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
2,877
Reaction score
5,022
wapendwa wana jf heshma kwenu!

me ni mwalimu mpya idara ya secondary kutoka mkoa wa kilimanjaro nimepangwa KIGOMA mwaka huu tar 01-04-2014 yan huwez amim mpaka leo hii nnavyopost hii thrend cjapata hata mshahahara mmoja.
nikifuatiLia wilayan wanasema nisubr cjaingia kwa payroll then maisha ni magumu sana nashndia viaz vya kuchemsha-

Naomben mnishaur cha kufanya coz hata headmaster ananiambia shule haina pesa ya kunisapport mpaka salary itakapotoka.
 
wapendwa wana jf heshma kwenu!

me ni mwalimu mpya idara ya secondary kutoka mkoa wa kilimanjaro nimepangwa KIGOMA mwaka huu tar 01-04-2014 yan huwez amim mpaka leo hii nnavyopost hii thrend cjapata hata mshahahara mmoja.
nikifuatiLia wilayan wanasema nisubr cjaingia kwa payroll then maisha ni magumu sana nashndia viaz vya kuchemsha-

Naomben mnishaur cha kufanya coz hata headmaster ananiambia shule haina pesa ya kunisapport mpaka salary itakapotoka.

Pole sana ndugu, hata mie mama watoto hajapata mshahara, bahati ni kwamba shule imejitolea kumlipa mwezi huu.

Nenda halmashauri ukakope, hawata kunyima.
 
Fanyeni kama tabora. Mnaji'organize mnaenda halmashaur hamtoki mnashinda hapo hapo mpaka DEO anaona kero. Fuatilia haki yako
 
Pole sana! Halafu serikali inadai uchumi unakuwa bongo noma sana.
 
Sasa tatitzo kutoka kituo chang cha kaz mpaka halmashaur ni issue naul kwnda na kurudi lazima uwe na elfu20
alaf ukiangalia me mwenyw nafugwa tu na mshikaj
 
Back
Top Bottom