Mwalimu Mwakasege amefundisha sana kuhusu Msimu Mpya na ndio umeshafika Trump anavunjavunja Mihimili ya Uwongo USAID, ICC, UNRWA nk

Nijuavyo mimi mikopo hudumaza akili

Hata mikopo ya huku mtaani imedumaza akili za watu badala ya kufanya kazi na kujiingizia kipatow wanashinda kwenye ofisi za mikopo badala ya kutafuta mbinu za kujiingizia kipato
Ni kweli
 
ACHA KUMUMUNYA MANENO TATIZO LA TZ NI CCM
 
Msimu mpya ni WA walawi kukalia viti vya Enzi.

Donald Trump naye ni Nabii wa wakati huu akitimiza agenda ya Mungu katika KITI Cha utawala wa WANADAMU unaomuwakilisha Mungu.

Ukisikia Ufalme wa Mungu uje, ndio huu sasa.

Nyikani Inakuja pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ