Uchaguzi 2020 Mwalimu Mwakasege awataka Watanzania kuibariki siku ya uchaguzi ili pasiwepo hila na udanganyifu

Uchaguzi 2020 Mwalimu Mwakasege awataka Watanzania kuibariki siku ya uchaguzi ili pasiwepo hila na udanganyifu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwalimu Mwakasege leo ameendesha maombi rasmi ya kuibariki siku ya uchaguzi ( 28/10/2020) na kuwataka watanzania wote waibariki siku hiyo ili pasiwepo hila na udanganyifu wowote.

Mwakasege amesisitiza kuwa maombi hayo ya baraka yahusishe siku 15 za mchakato yaani siku 7 kabla ya uchaguzi, siku ya uchaguzi, na siku 7 baada ya uchaguzi. Amesema hayo katika kongamano la kuombea " siku" ya uchaguzi linalofanyika UDOM, jijini Dodoma.

Source Upendo tv

Maendeleo hayana vyama amen!
 
Amefanya maombi kuhusu mgombea ambaye yuko na hila za Robertson na genge lake dhidi ya Taifa la Tanzania?
 
Mwalimu Mwakasege leo ameendesha maombi rasmi ya kuibariki siku ya uchaguzi ( 28/10/2020) na kuwataka watanzania wote waibariki siku hiyo ili pasiwepo hila na udanganyifu wowote...
Namlubali sana Mwalimu, huwa haegemei upande wowote
 
Bado sijamuelwewa......ANAKEMEA UVUNJAJI WA HAKI au nae ndo walewale viongozi matapeli wa dini wanaoombea amani BADALA YA KUKEMEA UVUNJIFU WA HAKI??!!!
 
Nakukubali sana uyu mtumishi naangaliaga sana sermon zake YouTube
 
Bila kukemea ushenzi unaofanywa na CCM kushirikiana na NEC na ZEC sitamuelewa kabisa kwani hujuma hizo ndiyo cheche ya kuilipua Tanzania
 
Back
Top Bottom