Mwalimu Mwakasege: Dalili za Corona ni zile zile za magonjwa mengine tofauti yake Covid 19 imejaa Hofu kuu inayofanya wasio jasiri wajifiche

Mwalimu Mwakasege: Dalili za Corona ni zile zile za magonjwa mengine tofauti yake Covid 19 imejaa Hofu kuu inayofanya wasio jasiri wajifiche

Mwalimu Mwakasege ambaye leo anamalizia semina yake ya siku 4 kwa njia ya mtandao amesema dalili za Corona ni zilezile zinazokuwepo kwenye magonjwa mengine tofauti yake ni moja tu Covid 19 imejaa hofu.

Mwakasege amesisitiza kuwa hofu haipaswi kuogopwa bali kuikabili ukiwa umechukua tahadhari na si kujificha.

Mwakasege amerudia tena kusema Covid 19 ni tauni kwa mujibu wa Biblia japokuwa wanasayansi wanaweza kuwa na tafsiri zao za kidunia. Hofu ya Corona ndio inayosababisha watu wamkimbie Mungu badala ya kumkimbilia kitu ambacho si sahihi.

Kujificha na kuacha kufanya kazi siyo njia sahihi ya kudhibiti Corona kwani kila nchi inapaswa kuwa na njia zake za kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Nitaweka video clip baadae.

Source: Upendo tv

My take;
Baada ya kusikiliza mafundisho haya sina shaka Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.
Kajificha Chato halafu akawa chaguo la Mungu? Shetani amekuweza kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwalimu Mwakasege ambaye leo anamalizia semina yake ya siku 4 kwa njia ya mtandao amesema dalili za Corona ni zilezile zinazokuwepo kwenye magonjwa mengine tofauti yake ni moja tu Covid 19 imejaa hofu.

Mwakasege amesisitiza kuwa hofu haipaswi kuogopwa bali kuikabili ukiwa umechukua tahadhari na si kujificha.

Mwakasege amerudia tena kusema Covid 19 ni tauni kwa mujibu wa Biblia japokuwa wanasayansi wanaweza kuwa na tafsiri zao za kidunia. Hofu ya Corona ndio inayosababisha watu wamkimbie Mungu badala ya kumkimbilia kitu ambacho si sahihi.

Kujificha na kuacha kufanya kazi siyo njia sahihi ya kudhibiti Corona kwani kila nchi inapaswa kuwa na njia zake za kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Nitaweka video clip baadae.

Source: Upendo tv

My take;
Baada ya kusikiliza mafundisho haya sina shaka Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.
Antichrist, anti science
dini zimekuwa politics na biashara na wajinga ndiyo waliwao
 
Kwa wasoma Bible haswa, Docrtine za Mwakasege ni Cecular education; Nafundisha Cecular sana kwa Mwamvuli wa Spiritual. Ila kwa Wanaoanza Imani mnaweza kwenda Kwake, SO far TZ yote sikuwahi ona Mtu anayefundisha DOCTRINE za kumfunua YESU kwa waamini wake; Wengi ni Prosperity na Cecular teachnings.(Ieleweke huu ni mtazamo wangu kwa kadiri ya Kweli za Neno ambazo nazifahamu, na naendelea Kujifunza)

Kwa walio-advance kwenye Kutaka kujua Neno la Mungu please unaweza cheki Teaching za hawa jamaa; US Kuna jamaa anaitwa Andrew Wommack na Africa Yuko jamaa anaitwa Dr. Abel Damina
 
Kwa wasoma Bible haswa, Docrtine za Mwakasege ni Cecular education; Nafundisha Cecular sana kwa Mwamvuli wa Spiritual. Ila kwa Wanaoanza Imani mnaweza kwenda Kwake, SO far TZ yote sikuwahi ona Mtu anayefundisha DOCTRINE za kumfunua YESU kwa waamini wake; Wengi ni Prosperity na Cecular teachnings.(Ieleweke huu ni mtazamo wangu kwa kadiri ya Kweli za Neno ambazo nazifahamu, na naendelea Kujifunza)

Kwa walio-advance kwenye Kutaka kujua Neno la Mungu please unaweza cheki Teaching za hawa jamaa; US Kuna jamaa anaitwa Andrew Wommack na Africa Yuko jamaa anaitwa Dr. Abel Damina
Barikiwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Washenzi waliunda ebola ugonjwa wa kubleed damu,now wakaja na opposite yake,ugonjwa wa kugandisha damu,,
Corona sio ebola,,tuchapeni kazi
 
Back
Top Bottom