johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwalimu Mwakasege amelitangazia taifa kwamba Huduma yake ya Injili inajenga ukumbi wa kisasa jijini Dodoma.
Mwakasege amesema ukumbi huo utachukua watu 13,000 kwa wakati mmoja na utatoa Huduma kwa saa 24 katika siku zote za wiki hivyo watu wote wenye mapenzi mema watakaribishwa kuikaribia madhabahu hiyo ya Bwana.
Mungu ni mwema wakati wote.
Source Upendo tv!
Mwakasege amesema ukumbi huo utachukua watu 13,000 kwa wakati mmoja na utatoa Huduma kwa saa 24 katika siku zote za wiki hivyo watu wote wenye mapenzi mema watakaribishwa kuikaribia madhabahu hiyo ya Bwana.
Mungu ni mwema wakati wote.
Source Upendo tv!