Mwalimu mwenzenu naonewa.bofya ufaidi

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Haya ni mazingira niliyofundisha miaka m4,Kulikua hakuna gari inayofika AKA Basi ila nilipoomba kusoma nikahamishwa fasta na wakati huo ruhusa ya kusoma nimepata.Na mimi Chuo nimepata mwezi wa10 mwaka2011 na muda huo May niliaply TCU,Nilifata Procidure ila nkienda kwa mkurugenzi makarani wake wananizungusha eti nisubiri DEO akiwepo na Afisa utumishi.Nimeenda Mara nyingi ila Nazungushwa,Naishi kwa mikate ila Niatachomoka tu.
 
Hiyo ndio nyumba yako? mshahara unaweka wapi?
 
Ni kwamba wandugu mwaka 2008 Matipwili Palikua hapafiki gari lolote,Tulikua tukienda kuchukua mshahara unakodi bodaboda hadi kidomole sh8000,kidomole bagamoyo sh2000 na Bagamoyo dar1500.Kipindi cha mvua nauli hubadilika Matipwili kidomole sh1700,Kidomole Bagamoyo 2000,na Baga to Dar1500,zidisha mara2 pamoja na kurudi.na mshahara tukianza take home ilikua 140,000.za Tz.
 

Nabado unaipigia kura ccm?
 
Napata mashaka na Mwalimu aliye andika thread hii! Content haija kaa sawa sawa kabisa! Lugha iliyotumika kwenye baadhi ya maneno haisadifu umahiri wa Mwalimu kabisa! Angalia neno Procedure, angalia kuna mahali ameandika AKA akimaanisha Also Known As! Yaani kama kwenye FB!
 
mi naona picha ya mzungu akiwa kwenye mishe zake na hiyo honda sasa cjui mwalimu gani wakitanzania alielemewa kiasi hicho unavyojiexpress awe na honda bado iko order namna hiyo, nadhan ujaribu kuja na convising pictures sio hizo za mzungu
 
Pikipiki sio Yangu ni wazungu walikua wanatembea Saadani nkawaomba kamera nkaweka memory
 
Ni kua Huko ni Ndani ya Hifadhi ya taifa ya Sadani ndio maana unaona wazungu.Na wanyama hao wapo na Hilo ni jiko la kupikia.Picha zote ni za Matipwili ma Mungu ni Shahidi Yangu.
 
unamiliki pikipiki mwl.. Halafu unalalamika unashindia mkate ..you cant be serious mwl bwanaa...
 
Vanmedy mshahara sjapewa miaka2kwa iyo ntakula pikipiki
 
Baada ya hapo jiandae kushtakiwa kwa maosa ya ugaidi, wewe si kila siku unamlalamikia Afisa elimu wako na leo umeweka picha zako? Watatengeza video unaiba mitihani ya Form Four halafu wataitupa You tube ukutane na SSP Kova
 
Baada ya hapo jiandae kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, wewe si kila siku unamlalamikia Afisa elimu wako na leo umeweka picha zako? Watatengeneza video unaiba mitihani ya Form Four halafu wataitupa You tube ukutane na SSP Kova
 
Baada ya hapo jiandae kushtakiwa kwa maosa ya ugaidi, wewe si kila siku unamlalamikia Afisa elimu wako na leo umeweka picha zako? Watatengeza video unaiba mitihani ya Form Four halafu wataitupa You tube ukutane na SSP Kova
wewe kova sio SSP, yeye ni CP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…