Mwalimu na mwanafunzi wabambwa!!!

Mwalimu na mwanafunzi wabambwa!!!

Mwanafunzi asimamishwa masomo, lakini mwalimu wake aachwa akipeta

Mwalimu mmoja wa shule ya sekondari ya wasichana Maswa Chacha Mussa (28) amekutwa na mwanafunzi wake wa kidato cha tatu (jina tunalihifadhi) mwenye umri wa miaka (16), wakijiandaa kufanya mapenzi.

Tukio hilo lilitokea Agosti 7, mwaka huu saa 7:45 mchana baada ya uongozi wa shule hiyo kupata taarifa kwamba mwalimu Chacha alikuwa nyumbani kwake na mwanafunzi.
Baada ya taarifa hizo, Mkuu wa Shule Msaidizi, Paschal Athanas na mwalimu wa zamu waliamua kwenda nyumbani kwa mwalimu na kumbamba akiwa chumbani kwake na mwanafunzi huyo.

Aidha, kutokana na tukio hilo mwanafunzi huyo amesimamishwa masomo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kuruhusu uchunguzi kufanyika.
Hata hivyo, mwalimu wake bado anaendelea na kazi ya kufundisha kama kawaida na hakuna hatua yoyote ya kisheria ikiyochukuliwa dhidi yake.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa Kamishina Msaidizi Daudi Siasi alisema kuwa baada ya tukio hilo kutokea polisi walipewa taarifa na kwenda kwenye shule hiyo ambapo mwanafunzi huyo alipelekwa kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya serikali ya wilaya ya Maswa na kuonekana kuwa alikuwa hajafanyiwa kitendo chochote na mwalimu huyo.

Huu ni uchu au kitu gani?! Na kwa nini mwalimu asichukuliwe hatua yoyote au ndio sheria inavyosema?!
shule ni za wasichana walimu wanaume wapi na wapi? watafutiwe masista!!!
 
Jamani acheni kabisa, mimi nimefundisha sana hizi shule za sekondari, unakuta kibinti kinakaa nyumaaaaa! harafu muda wote ni kulembua macho. Ukionekana kushabikia hayo macho kanaweza kukufunulia hata chuchu zake kidogo ili kukuchanganya zaidi.
Hata kama umesoma maadili ya kazi miaka saba, kuna siku utaingizwa mkenge tena kwa kulazimishwaaaa jamani yamemkuta rafiki yangu. Ngoja niishie hapo kwanza.
unachosema ni kweli kabisa mimi baada ya kumaliza degree ya kwanza wakati natafuta kazi nilifundisha miezi mitatu (sio proffesional yangu ni njaa tu za kipindi hicho) ile shule ilikuwa ya boarding wasichana tupu sijui nieleze vp lakini majaribu yalikuwa makubwa sijapata kuona maishani mwangu na mie nilikuwa bado junkie ilikuwa balaa ni kila siku unaandikiwa barua watu wanaacha manyonyo wazi makusudi kuna mmoja alikuwa ananilia timing nje na kunitongoza sijui yuko wapi siku hizi yule mtoto may be keshaolewa maana kipindi kidogo.

Ile hali ilikuwa ngumu sana kui-handle na nilikuwa nashindwa kuwa-report kwa kuwa nilikuwa pale temporary sikutaka kuwaharibia masomo ila baada ya kupata kazi niliyosomea niliwachakachua wawili ambao walikuwa wanaendelea kunifuatilia mpaka uraiani

Watoto wa sekondari wanamajaribu mabaya sana kama ujaoa huwezi kuruka lazima watakinasa tu wengine wanawatongoza mpk walimu wenye umri wa baba zao yaani mtoto wa kike akishapevuka inakuwa balaa wengine mpaka walikuwa wanapandisha mashetani yanadai kiti anataka kufanya mapenzi
 
Nakumbuka msemo wa JK eti kuwa wanafunzi wanajitakia wenyewe nilichoka
 
Jamani mbona siku hizi walimu wengi wana uchu sana? watoto wa shule nao wanayaweza.

Mkubwa ameishasema. Wasichana ni Kiherehere chao tu!

Huku kwa Walimu tatizo ni kuwa Ualimu sio Wito tena bali ni just another job to make ends meet. Changanya...
 
Jamani msiwaseme sana wanafunzi wa kike, dada yangu alifundisha shule ya wavulana nayeye alipata shida sana
afu na kamwili kake kadogo basi ile mijanafunzi mikubwa ilikua inamuonea sana, siku akichelewa kutoka shule inabidi aombe escort kwa
kwa walinzi au walimu wa kiume.,,nafikiri japo yote hayo wanafanya bado ukweli unabaki kua wao ni watoto wanakua na kaili hazijakomaa
na mwalimu kama mtu mzima/mzazi/kiongozi jukumu ni lako kuwaelekeza..,anapokukonyeza darasan mwambie hapo hapo mbele ya darasa ashindwe na alegee mnapoanza kuitana pembeni eti umkanye ndio hapo mengine yanafatia..
 
Back
Top Bottom