Mpanda hill
Member
- Jun 27, 2024
- 49
- 75
Wanajamii Forums mwalimu M waipopo Nwaka amefariki dunia 12/1/2025 Muhimbili hospital alipokuwa anapata matibabu. Mwalimu katika uhai wake alifundisha shule mbalimbali za secondary ikiwemo Kilosa, Pugu,Tambaza, nk. Alikuwa mkuu wa shule za secondary za Namanyere, Rungwe, Ileje.
Alistaafu utumishi wa serikali miaka 16 iliyopita na kuendelea kufundisha shule za secondary za Meta Na Sangu za Mbeya. Atazikwa Kyela Mwaya baada ya kuagwa mbeya mjini ktk makazi yake ya Sae. Anazikwa Leo 16/1/2025 nimempoteza baba mdogo Niko huku Kyela kwa hatua za mazishi Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihidimiwe Amen.
Alistaafu utumishi wa serikali miaka 16 iliyopita na kuendelea kufundisha shule za secondary za Meta Na Sangu za Mbeya. Atazikwa Kyela Mwaya baada ya kuagwa mbeya mjini ktk makazi yake ya Sae. Anazikwa Leo 16/1/2025 nimempoteza baba mdogo Niko huku Kyela kwa hatua za mazishi Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihidimiwe Amen.