TANZIA Mwalimu nguli wa hesabu Nwaka Patric Mwaipopo afariki dunia

TANZIA Mwalimu nguli wa hesabu Nwaka Patric Mwaipopo afariki dunia

Wanajamii Forums mwalimu M waipopo Nwaka amefariki dunia 12/1/2025 Muhimbili hospital alipokuwa anapata matibabu. Mwalimu katika uhai wake alifundisha shule mbalimbali za secondary ikiwemo Kilosa, Pugu,Tambaza, nk. Alikuwa mkuu wa shule za secondary za Namanyere, Rungwe, Ileje.

Alistaafu utumishi wa serikali miaka 16 iliyopita na kuendelea kufundisha shule za secondary za Meta Na Sangu za Mbeya. Atazikwa Kyela Mwaya baada ya kuagwa mbeya mjini ktk makazi yake ya Sae. Anazikwa Leo 16/1/2025 nimempoteza baba mdogo Niko huku Kyela kwa hatua za mazishi Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihidimiwe Amen.
Apumzike kwa amani mzee Mwaipopo... Kesho nitampigia simu mwanae mmoja nimpe pole.
 
Wanajamii Forums mwalimu M waipopo Nwaka amefariki dunia 12/1/2025 Muhimbili hospital alipokuwa anapata matibabu. Mwalimu katika uhai wake alifundisha shule mbalimbali za secondary ikiwemo Kilosa, Pugu,Tambaza, nk. Alikuwa mkuu wa shule za secondary za Namanyere, Rungwe, Ileje.

Alistaafu utumishi wa serikali miaka 16 iliyopita na kuendelea kufundisha shule za secondary za Meta Na Sangu za Mbeya. Atazikwa Kyela Mwaya baada ya kuagwa mbeya mjini ktk makazi yake ya Sae. Anazikwa Leo 16/1/2025 nimempoteza baba mdogo Niko huku Kyela kwa hatua za mazishi Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihidimiwe Amen.
R.I.P aliyeacha Legacy
 
kwanza amepost kama anakimbizwa, halafu kampamba babake mkubwa kana kwamba alikuwemo kwenye list ya hao nguli wa hesabu nchini.
Kufeli kwako hesabu, umetunza hasira mpaka kwa Mwl ambaye hakukufundisha tena humjui, unashambulia mpaka kifo chake. Pole.
 
Katika hospitali ya Muhimbili.

Alipokuwa anapatiwa matibabu.

Kuna mtu anafariki Muhimbili akiwa analima mihogo ?

Logic na shule ya jamii yetu hii ni ndogo sana.
 
Back
Top Bottom